Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
- Thread starter
- #241
jerry wa kupakatwa?
Freeland utabiri wako kiboko. Nilidhan unatania kumbe kweli yametimia. Ndala wanabid tu wapande boat kurudi kwa Mzizima pale Twiga street kwenye matete yale ya Bonde la Mto Msimbazi aka Jangwani. Poleni sana watani. Muliambiwa kuwa mulikuwa kundi la vibonde mukabisha! Yuko wapi Jerry Muro afisa habari wa Yanga maana nae ni kama yule waziri wa habari enzi za utawala wa hayati.Saddam Husein! Kwa propaganda anatisha. JERRY anakuambia kwa sasa habari ya Mujini Goli 4-0 kila.mechi. Leo wameshindwa hata goli moja. Poleni Watani, leo utasikia lugha za kujifariji nyingi tu. Wazee wa media hawa!