Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

tayari walishalala, hata mkolaji kamwachia yule mtoto anayembusu kila siku
Hizi siku mbili zimekuwa ni full burudani, jana mkalala mapema mkatuacha tunapiga stori jamvini na leo inavyoonekana mtalala mapema mtuache tuzidi kupeana soga na ujuzi wa kuchukua taji.
 
mji utakua shwari., walianza na 4+4+1 mwisho (-1)
Kwa kweli wametia aibu, unaingia robo fainali hujaruhusu goli hata moja huku ukiwa na ushindi wa 100% halafu matokeo yake unachapwa na timu ambayo iliingia kama best loser.
 
Yanga ni Makoye Matale tu.Msukuma ukimtoboa anatoka damu ya kijani. Wengine wote maboya tu.
 
Kanjibhai akizinduka huko aliko sijui kama patakalika.Heads will roll.
 
images (4).jpg images (4).jpg images (4).jpg
 
Kwa kweli wametia aibu, unaingia robo fainali hujaruhusu goli hata moja huku ukiwa na ushindi wa 100% halafu matokeo yake unachapwa na timu ambayo iliingia kama best loser.
walichonga sana utadhani mabingwa wa Afrika
 
wanaume wengine wametoana kwa matuta, Yanga ndani ya 90
 
Walikuwa wanaomba wapangwe na Simba. Walipata bahati ya kupangwa kundi nyanya kelele mjini hatulali. Kundi la Simba limeingiza timu 3 kwenye semifainali.
 
Mkuu Makoye Matale, mkolaj na wana Yanga wote poleni, ila ni bonanza haliumi sana. Acha tujifariji.

Masuke na wana simba wenzako hongereni sana, kila la kheri simba, japo najua hamchukui kombe safari hii laweza baki Zanzibar, halitavuka bahari.
Nawatakia usiku mwema.

Ndio mnachoombea lkn haitakuwa hivyo..
 
Last edited by a moderator:
Walikuwa wanaomba wapangwe na Simba. Walipata bahati ya kupangwa kundi nyanya kelele mjini hatulali. Kundi la Simba limeingiza timu 3 kwenye semifainali.

Ni jambo la kusikitisha kuwa Simba kaikosa hii raha kwenye fainali
ImageUploadedByJamiiForums1420752167.001480.jpg
 
Nimeamini hata Simba akiloana usimdharau.

Freeland utabiri wako kiboko. Nilidhan unatania kumbe kweli yametimia. Ndala wanabid tu wapande boat kurudi kwa Mzizima pale Twiga street kwenye matete yale ya Bonde la Mto Msimbazi aka Jangwani. Poleni sana watani. Muliambiwa kuwa mulikuwa kundi la vibonde mukabisha! Yuko wapi Jerry Muro afisa habari wa Yanga maana nae ni kama yule waziri wa habari enzi za utawala wa hayati.Saddam Husein! Kwa propaganda anatisha. JERRY anakuambia kwa sasa habari ya Mujini Goli 4-0 kila.mechi. Leo wameshindwa hata goli moja. Poleni Watani, leo utasikia lugha za kujifariji nyingi tu. Wazee wa media hawa!
 
Back
Top Bottom