Mpira unadunda bandugu...
hizi habari ni za kweli kwamba yanga imetolewa? au ni utani
Ulimakafu, naona ndio unaibuka baada ya kutafakari kipigo, hakuna anayebisha, na nne zenu mmeng'oka
waache utawaumiza, sasa tunamtangaza rasmi Makoye Matale kama msemaji wa SImba kwa mechi zilizosalia
Aliyekimbia mvua ama kwa hiyari ama kwa kulazimishwa anajulikana na aliyebakia kama mwanaume anajulikana .
Wadau naombe ratiba ya semi final Leo mapinduzi cup kati ya simba vs POLISI Zanzibar na jku vs mtibwa mechi gani inaanza na NI SAA ngap?
Sabato Njema, unasali Magomeni au Mwenge?
Mechi zote zinachezwa leo 10/01/2015.
Simba v Polisi saa 10:00 jioni.
Mtibwa v JKU saa 2:15 usiku.