Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

japokuwa JKU wazuri sana lkn mechi hii lazima tumeicheza
 
Yanga walisahau kutuma mtu wa kutoa madude golini?
 
nimeshangaa kaspidi ka huu uzi kumbe mtani kaliwa
 
ukiona kijani ujue KAVUJA/CHUJA
 
MABINGWA WA AfRIKA mASHARIKI WAMESHINDWA KUINGIA HATA NUSU FAINALI YA MAPINDUZI CUP?
 
Bakia mtazamaji wacha wanaume waliobakia wapambane wewe kigoli rudi Dar ukacheze kigodoro ndio saizi yako.Lakini usijali ni Bonanza. Haa Haa Haaa
 
Yanga walisahau kutuma mtu wa kutoa madude golini?

Ni kweli kabisa. Si bado kaswekwa ndani. Labda ndio mganga wao yule. Sasa heshima itarudi maana walizidi sana hawa kwa kuzifunga zile timu za daraja la pili.
Ova
 
najua unachomaanisha hapa
Tunawatakia kila la heri. Tumejitahidi sanaa, tumefungwa kwa taabu sana; bahati haikuwa yetu. Tunashukuru Polisi kutoka kundi letu wamefuzu. Sasa sisi hatuna presha tena tutakuwa watazamaji huru.
 
kwani Shaymar, Msuva na Tambwe hawakuheza?
 
anyway, poleni sana (japo siyo kimoyomoyo)
 
ama kweli umdhaniaye ndiye kumbe siye ndiye
 
kwani Shaymar, Msuva na Tambwe hawakuheza?

Hadi ngassa na Coutinho walikuwa ndani! Yaani hii ndo ilikuwa first eleven ya yanga. Sisi walitubania ila tulikandamiza mpaka wakaachia. Ndala wamegeuziwa kibao.
 
achekaye mwisho hucheka sana
Ni kweli kabisa. Si bado kaswekwa ndani. Labda ndio mganga wao yule. Sasa heshima itarudi maana walizidi sana hawa kwa kuzifunga zile timu za daraja la pili.
Ova
 
waache utawaumiza, sasa tunamtangaza rasmi Makoye Matale kama msemaji wa SImba kwa mechi zilizosalia
Bakia mtazamaji wacha wanaume waliobakia wapambane wewe kigoli rudi Dar ukacheze kigodoro ndio saizi yako.Lakini usijali ni Bonanza. Haa Haa Haaa
 
Hadi ngassa na Coutinho walikuwa ndani! Yaani hii ndo ilikuwa first eleven ya yanga. Sisi walitubania ila tulikandamiza mpaka wakaachia. Ndala wamegeuziwa kibao.
siku hizi ngassa kama panya road tu, tena akirudi asikatize manzese atakamatwa
 
Mwanaspoti kesho zitadoda. Migongo wazi hawatanunua. Four Four One and then Kabang.
 
Kesho jiji kimyaaaaa mpaka raha. Watu tutafanya shughuli zetu kwa utulivu.
 
Mkuu Makoye Matale, mkolaj na wana Yanga wote poleni, ila ni bonanza haliumi sana. Acha tujifariji.

Masuke na wana simba wenzako hongereni sana, kila la kheri simba, japo najua hamchukui kombe safari hii laweza baki Zanzibar, halitavuka bahari.
Nawatakia usiku mwema.

Hizi siku mbili zimekuwa ni full burudani, jana mkalala mapema mkatuacha tunapiga stori jamvini na leo inavyoonekana mtalala mapema mtuache tuzidi kupeana soga na ujuzi wa kuchukua taji.
 
Nimesikia tetesi kwamba Yanga wamekata rufaa,kwamba bao la ushindi limefungwa na Jaja ohhh sorry sio Jaja ni Janja.
 
Back
Top Bottom