Pasco ametangaza rasmi kupitia kampuni yake kuwa yeye anamuunga mkono Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi wa 2020.
Hivyo wadau msishangae hoja za Pascal kuelekea 2020, msiseme amenunuliwa Ila mjue ndio msimamo wake.
2015 alikuwa na Lowasa, 2020 anaenda na Magufuli...
Tunashukuru kwa kuliweka wazi hili, nadhani zile kauli za kusema umenunuliwa sio tu zitakoma bali zitaisha kabisa...
Zile ofisi zako pale Posta nadhani utawezeshwa na utalipia pango, zile tenda za serikali zilizokata bila shaka sasa zitamiminika.
Hongera umeona mbali, njaa haina baunsa.