Live on Star TV: Mkuu Maxence Melo wa JF, yuko live ndani ya Jicho Letu Ndani ya Habari, JF ikiwa ndie mtoaji mkuu wa habari Tanzania

May 30, 2020
JAMIIFORUM HAITUKANI MTU INAFUATA SERA YAKE KIKAMILIFU - MAXENCE MELO.
Mkurugenzi JamiiForums akimjibu Paschal Mayalla kuhusu baadhi ya wadau kudai watu / viongozi wanatukanwa JF - JamiiForums vigezo, masharti , sera zake (policy) na maudhui ya mtandaoni hufuatwa na ndiyo mtandao unaojaribu kufuata kwa kiasi kikubwa taratibu zilizowekwa.

Viongozi wakubali maoni toka kila pande bila kujali maoni hayo hawayapendi, kukubali kukosolewa na siyo kutaka kusifiwa huku wamekosea.
Source : Startv Habari
 
Mayalla amefanya vyema kujiongeza maana zile tenda zilikuwa zinampatia mamilioni ya kutosha.

Hongera Mayalla..πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
May 30, 2020
MAMBO AMBAYO WAANDISHI & VYOMBO VYA HABARI WANAPASWA KUZINGATIA KUANZIA SASA KUELEKEA UCHAGUZI 2020.

Source: StarTV Habari
Dotto Burendu ndiyo anaibeba hiyo tv, vinginevyo ingesha fungasha virago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…