LIVE: Nini kinatokea Ufaransa!? Mapinduzi ?

LIVE: Nini kinatokea Ufaransa!? Mapinduzi ?

Naona wananchi wameamua! Nikifuatilia comments za live chart, inaonesha wananchi wameyachoka maisha waishio,
Kero zao kubwa ni
katiba mpya.
Kupanda kwa kodi hasa mafuta.
Kubanwa kwa uhuru wa habari.
Naona matatizo yanafanana na wale wananchi wa hile nchi takatifu! Donner contry
Hahaha unahitajika central kesho asubuhi
 
Naona wananchi wameamua! Nikifuatilia comments za live chart, inaonesha wananchi wameyachoka maisha waishio,
Kero zao kubwa ni
katiba mpya.
Kupanda kwa kodi hasa mafuta.
Kubanwa kwa uhuru wa habari.
Naona matatizo yanafanana na wale wananchi wa hile nchi takatifu! Donner contry
Umesahau kuwa yana fanana na ya ile nchi ambayo kiongozi wake baada ya kumaliza uongozi wake hapa Duniani Ataenda kuongoza malaika huko MBINGUNI!!
 
Habari zipo inategemea na vyombo vya habari unavyofuatilia...

Usitegemee kuzikuta ITV au Wasafi FM.

Aljazeera wanarusha vizuri saana.

Macron nafikiri anaweza kuondoka...Ukitegemea kinacholalamikiwa ni Tax na kupanda kwa mafuta- Na hawa matajiri wa Mafuta ni siku kadhaa nao wanavutana kwenye bei ya mafuta Ulaya.


Jambo viongozi wetu wanalotakiwa wajifunze ni kuacha "kiburi" ingekuwa nchi yetu tungeskia waandamanaji 400 wauawa na askri....ila hawa jamaa hawatumii silaha za moto kwa wafaransa wenzao.
Eti wasafi FM haahhahahaa we jamaa
 
mkuu umewaza nn
Kiongozi ukiangalia sasa siogop uarabuni, mashariki ya mbali, ulaya na America wanapata tabu sana Mungu analipiza.

Mara huku watoto wao wanatwangana risasi darasani na mitaani, mara wameruhusu ushoga, mara ugumu wa maisha mara vimbunga vya majina yake ajabu ajabu,ubaguzi wa watu weusi etc.

Wacha shuruba hiyo waipate tu hakuna namna kutesa kwa zamu.
 
Kiongozi ukiangalia sasa siogop uarabuni, mashariki ya mbali, ulaya na America wanapata tabu sana Mungu analipiza.

Mara huku watoto wao wanatwangana risasi darasani na mitaani, mara wameruhusu ushoga, mara ugumu wa maisha mara vimbunga vya majina yake ajabu ajabu,ubaguzi wa watu weusi etc.

Wacha shuruba hiyo waipate tu hakuna namna kutesa kwa zamu.
Nakubaliana na ww 100%, alaf eti wameweka vikwazo Iran vya kuuza mafuta, wanamfuata MMAREKANI, sasa ivi mafuta yamepanda miongoni mwa sababu ni kuekewa vikwazo nchi kama Iran kama utachunguza kiundani.
 
Nakubaliana na ww 100%, alaf eti wameweka vikwazo Iran vya kuuza mafuta, wanamfuata MMAREKANI, sasa ivi mafuta yamepanda miongoni mwa sababu ni kuekewa vikwazo nchi kama Iran kama utachunguza kiundani.
Nikweli kabisa kiongozi
 
Kiwake tuu nao walau wasikie ladha ya hizi shida wanaziwaanzishia wemzao.
Hizi taarifa ukizitaka kwa uweledi zaid ingia RT Russia Today yaani utapata kila kitu haswa mabaya yanayotokea na yanayotarajiwa kutokea
 
Kiwake tuu nao walau wasikie ladha ya hizi shida wanaziwaanzishia wemzao.
Hizi taarifa ukizitaka kwa uweledi zaid ingia RT Russia Today yaani utapata kila kitu haswa mabaya yanayotokea na yanayotarajiwa kutokea
NIKO NA RT MKONO KWA MKO HAWAFICHI KITU MKUU
 
Nakubaliana na ww 100%, alaf eti wameweka vikwazo Iran vya kuuza mafuta, wanamfuata MMAREKANI, sasa ivi mafuta yamepanda miongoni mwa sababu ni kuekewa vikwazo nchi kama Iran kama utachunguza kiundani.
Duh na chanzo cha kupanda kwa mafuta wana kijuwa!
Tume wazidi ustarabu na uvumilivu leo ninaona hapa yana uzwa 2,439lt wandamane wachome kila kitu labda itasaidia huku kupungua bei!
 
Duh na chanzo cha kupanda kwa mafuta wana kijuwa!
Tume wazidi ustarabu na uvumilivu leo ninaona hapa yana uzwa 2,439lt wandamane wachome kila kitu labda itasaidia huku kupungua bei!
fundi25
Malipo ni hapa hapa duniani, nafkiri akili zao zitakaa sawa
 
Back
Top Bottom