magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,384
- 13,073
Nasikia nchi yako isiyokuwa na huo ugonjwa imeizidi maendeleo Ufaransa!!Wafaransa wanaugonjwa mkuu mmoja tu kupenda sex na kwao promiscuity sio kigezo cha kumnyima mtu madaraka upo hapo? Sasa hebu Angalia tofauti ya umri Kati ya rais Macron na mkewe utapigwa butwaa !