Live: Mazishi Mhe. Salome Mbatia

Picha inasema mengi kuliko yale tuwezayo kuyaeleza kwa ufasaha.

Hapa kuna unsanii.

Si kweli kwamba MH JK Kikwete amelala kwa sababu moja kuu.

Ukiangalia mkono wake wa kushoto, mkono wenye pete,unaonekana ukiwa out of Focus. Camera imeshindwa kuFocus mkono wa kushoto kama ilivyo weza Focus mkono wa kulia au mikono yote ya waheshimiwa pembeni mwa rais.

Camera kushindwa Kufocus mkono wa president kuna maana moja tu, mkono huo ulikuwa katika movement wakati picha inapigwa.

Haiwezekani mtu auchape usingingizi huku mkono wake mmoja ukiwa katika movement kiasi cha Camera kushindwa kuFocus.

Pia mguu wake wa kushoto unaonekana uko kwenye movement katika hali ya kukaa vizuri kwenye kigoda. Kwa ujumla president yuko live na katika movement na haonyeshi dalili yeyote kwamba alikuwa amelala.

Kwa hiyo maelezo kwamba President alikuwa amelala ni ya Usanii na sikubaliani nayo hata kidogo.

Mwenye utetezi mwingine aulete hapa.

hapa walitaka kuspinkiaina, ahsante mkuu kwa uchambuzi ulioenda shule
 
MADILU said:
Picha inasema mengi kuliko yale tuwezayo kuyaeleza kwa ufasaha.

Hapa kuna unsanii.

Si kweli kwamba MH JK Kikwete amelala kwa sababu moja kuu.

Ukiangalia mkono wake wa kushoto, mkono wenye pete,unaonekana ukiwa out of Focus. Camera imeshindwa kuFocus mkono wa kushoto kama ilivyo weza Focus mkono wa kulia au mikono yote ya waheshimiwa pembeni mwa rais.

Camera kushindwa Kufocus mkono wa president kuna maana moja tu, mkono huo ulikuwa katika movement wakati picha inapigwa.

Haiwezekani mtu auchape usingingizi huku mkono wake mmoja ukiwa katika movement kiasi cha Camera kushindwa kuFocus.

Pia mguu wake wa kushoto unaonekana uko kwenye movement katika hali ya kukaa vizuri kwenye kigoda. Kwa ujumla president yuko live na katika movement na haonyeshi dalili yeyote kwamba alikuwa amelala.

..Inawezekana vipi mkono na mguu uwe katika movement lakini sehemu nyingine za mwili zisi-move?

..kwani kuna ubaya gani kama alikuwa amelala? Ratiba ya Raisi ni very hectic. Anachoka sana Raisi wetu. Binafsi I understand Raisi akisinzia ktk mazingira kama hayo.

..Sioni ubaya wowote wa picha hiyo kusambazwa. Maudhui makuu ya picha hiyo ni jinsi viongozi wakuu na watanzania kwa ujumla walivyoungana na familia ya Dr.Mbatia kuomboleza msiba huu.
 
Kikwete alikuwa amelala na aliyesambaza hii picha amenipatia zawadi ya halowini. Poor Kikwete, ulilala wakati wa intavyuu hadi ukasema kuwa hujui kwa nini nchi ni masikini na sasa umelala msibani!

kazi unayo na hao mafisadi waliokuweka ikulu kwa pesa za wizi
 
JK naye hakuwa nyuma kuuchapa usingizi mbele ya kadamnasi.Mazishi yalihudhuliwa na viongozi wa serikali,upinzani na viongozi wa dini.Picha kwa hisani ya bwana Michuzi Blog.
View attachment 753

Nikiangalia vizuri huyu JK hajalala bali aliinama timing ikawa kali kwa mpiga picha. Pia anaonekana kuwa na majonzi sana. Hajalala pale si mahala pa kufumba hata macho, bila shaka umenielewa.
 
Kwa hisani ya Haki Ngowi.
http://haki-hakingowi.blogspot.com/

[B]
Makala Ya Leo..

Katika makala ya leo Mh Evarist Chahali
ambae yupo Aberdeen,Skotland,nchini Uingereza
ambako anasomea Udaktari wa Falsafa katika Siasa za
Kimataifa,hususani kuhusu Afrika.

Hivi leo kaleta makaa yake katika blog yetu hii
ili aweze wadau mbalimbali waweze kumsoma
kama ifwatavyo hapo chini...

Chahali anasema.-

...Katika picha mbalimbali kuhusu msiba wa marehemu Mbatia nimeona "makada" lukuki wa chama tawala wakiwa katika magwanda yao ya kijani na nyeusi.Nimebaki najiuliza,hivi waungwana hao wangevaa mavazi yao ya kawaida wangeonekana hawana majonzi ya msiba huo?
Au walivaa mavazi hayo kwa maagizo ya kiongozi flani?Kama ni maagizo kutoka ngazi za juu,mbona viongozi wakuu wa chama hicho walikuwa kwenye mavazi yao ya kawaida tu (hasa suti nyeusi)?

JK,Malecela,Karume,Makamba,nk wote walikuwa wamevalia suti nyeusi na wala sio magwanda ya kijani na nyeusi,pengine kwa sababu msiba huo ulikuwa wa kitaifa,na hata jeneza la marehemu halikuvikwa bendera ya CCM bali ya Taifa.? kwa mengi zaidi juu ya makala hii
mtembelee kupitia http://www.chahali.blogspot.com/
[/B]
 
Wabongo kwa ubishi,nawapeni heko,mnaobisha kuwa JK hakusinzia msibani,mna ushahidi?Kwani kulala ni dhambi?Kawaulizeni waliokuwepo pale,JK aliuchapa kinoma,acheni longolongo zenu kujifanya mna utalaam wa kusoma picha,mara timing ya camera,mara mkono upo kwenye movement,kwa kifupi mheshimiwa alisinzia,na usingizi hauna subira utapokufika haijali upo wapi,lazima utauchapa tu.
 
JK naye hakuwa nyuma kuuchapa usingizi mbele ya kadamnasi.Mazishi yalihudhuliwa na viongozi wa serikali,upinzani na viongozi wa dini.Picha kwa hisani ya bwana Michuzi Blog.
View attachment 753

Du hii huzuni wangekuwa nayo kwa kila mtanzania basi watu wengi wangekuwa hai hasa waliokufa kwa kukosa asprin
 
masikini pesa ya EPA ilimwondoa dunia...ccm hawafai hata uongozi wa kijiji..wanakutumia wakimaliza wana kumaliza..
 
masikini pesa ya EPA ilimwondoa dunia...ccm hawafai hata uongozi wa kijiji..wanakutumia wakimaliza wana kumaliza..

Mara nyingi tumelisikia hili, lakini tungeelezwa ukweli wa tukio. nani alihusika kupanga na nani alitekeleza. Au link inayohusika
 
Back
Top Bottom