M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Asante sana CMB kwa taarifa hii Mungu ni mwema awape rehema wana ndugu .Niko Buguruni kwa sasa
Hivi hakuna itifaki mahususi kwa viongozi wa serikali?
Au nio wosia wake? Najua alichaacha kuwa mweka hazina wa CCM.
Asha
CMB!
Tunashukuru kwa Taarifa!
JK naye hakuwa nyuma kuuchapa usingizi mbele ya kadamnasi.Mazishi yalihudhuliwa na viongozi wa serikali,upinzani na viongozi wa dini.Picha kwa hisani ya bwana Michuzi Blog.
View attachment 753
sijui kama anaweza kuuchapa kweli hapo ilikua huzuni imemshika hapo sio sehemu ya kuuchapa kabisa
Ni kweli ulivyosema, ukiangalia mkono wake wa kushoto unaonekana kuwa alikuwa na movement fulani. Kama mimi ningekuwa mpigapicha nisingekuwa nimeiweka kwenye circulation.
JK naye hakuwa nyuma kuuchapa usingizi mbele ya kadamnasi.Mazishi yalihudhuliwa na viongozi wa serikali,upinzani na viongozi wa dini.Picha kwa hisani ya bwana Michuzi Blog.
View attachment 753