Live from LEO TUPO HAPA PUB


Na wewe mume wa ladyfurahia nimeku mind sana....
 
Last edited by a moderator:
Kha!
Asa aliekwambia kama yule mtoto alikuwa ticha nani?
Alikuwa anauza K ka rafiki yake yule mwenye miguu yote ya kushoto.
Mdingi huyo Kanali si ndio alikuwa anam-bandua mamake shoga angu.
Chezea Mbunye ya Mmwera wewe!
Mpaka Banda kajengewa.
Hapa tunamzungumzia Lily siyo?
 
Last edited by a moderator:
Asprin Perfume wapi>>>>>>>>Hapa ni petral jombaa!!acha kitu cha chimoni!!Sasa kama unataka kula na mimi ninakupa mtihani wakitu cha Perfume kwanza ukipita salama njoo usanue kila kitu!Hapa ni kwako halafu bwana tukionana macho makavu ntakupa issue!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifuuuupi kabisa kabla sijaifunga hii sredi, kuna kiumbe chochote cha kiume au cha kike kati yenu anaweza kuniambia hapa mnadiskasheni makitu gani hasa?

watu8, imekuwaje arifu ukanitelekeza na haya majukumu mazito?

Mpwa nasikitika kukwambia kuwa hata mimi sikufanikiwa kujumuika na ndugu hao waliotajwa hapo juu....
Uwepo wangu kwenye thread ilikuwa ni kutoa kampani kiroho maana kimwili sikuwa nao kabisaaaa...
 
nimekusamehe usirudie tena kuja home na kwenda kumfundisha laaziz wangu hivo vinywaji yeye hajui pombe hata kidogo, usijali best ila mchunge sana hapo alipo asijevuliwa kila kitu kwani ana mkuku shingoni nilimpa katika bethdei yake. naomba msalimie kwani nampigia hapokei simu sijui kwanini (ichunge simu yake ni aina ya hp digitale wasimuibie hapo
Ni samehe basi sweatheart ohoooo sorry dear!!:tape2:
 
Ha haa duh!
 
Asprin Perfume wapi>>>>>>>>Hapa ni petral jombaa!!acha kitu cha chimoni!!Sasa kama unataka kula na mimi ninakupa mtihani wakitu cha Perfume kwanza ukipita salama njoo usanue kila kitu!Hapa ni kwako halafu bwana tukionana macho makavu ntakupa issue!
Heheheheeh! We mutu ni hatareeeeeey!!

BTW kizuri kula na nduguyo bana!
 


Penda sana veve, wee ndio uliobadili baada ya Erickb52.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…