LIVE: Barca VS AC Milan...Barca akifudhu ntajing'ata mgongoni

LIVE: Barca VS AC Milan...Barca akifudhu ntajing'ata mgongoni

N'nachujua leo tutaenjoy mechi 'kwaliti' yenye upinzani lumbesa...hizo nyingine ni tambo tu na mbwe mbwe!
 
jiandae kujing'ata ..
visca el barca...
tunasonga mbele leo..

kwa msimu huu kazi atakuwa nayo kwa ile beki sijui na kipa mwenyewe yule sema barca wanakazi sana kutafuta goli mbili sio mchezo na siku hizi bahasha za kaki hawatoi kabisa uefa tusubiri vioja tu..
 
nipo na ac milan leo. forza milan

jamaani mtoto barca leo anatia huruma!kafika home kamkuta babake milan kapaki gari hata halijapoa kutokana na safari ndefu ya kumfukuzia kibibi kizee kule italia,afu yeye kafungua kifuniko cha rejeta huku akichungulia uuwii!
 
Wao wana Refa, sisi tuna Mungu...
The Sagga Continua

Gang Chomba unachonishangaza ni kuanza kumtaja refa kabla ya mechi..ni kama unaandaa pa kuegemea!! si tusubiri baada ya game kama refa atakuwa ameuma tutaona! Binafsi naamini kwa uchezaji wa Barca leo game itakuwa ngumu kwenu mnaweza hata kupata red maana mwaweza pigwa vyenga na kugongewa pasi za maudhi na hatari..natabiri Milan kulowa pale Camp Nou leo na Messi kushine!! Wapi Companero
 
Last edited by a moderator:
hakuna timu duniani inajua kupaki basi golini kama ac milan...sioni barca kufunga goli tatu bila so ac milan ndio wameshapita
 
Gang Chomba mzee wa Gaucho...yule mwana wa kujidai na mpira jinsi atakavyo....yule aliyefanya watu wengi waipende La masia....leo unaikataa wazi wazi Barca.....nakuhakikishia Milan leo watautafuta mpira kwa tochi...kila wakiupata itakuwa pale wanapoutoa nyavuni kwenda kuanza pale kati kati.....Barca balaa hata ikiwa na makocha wasaidizi tupu...
 
Last edited by a moderator:
kwa msimu huu kazi atakuwa nayo kwa ile beki sijui na kipa mwenyewe yule sema barca wanakazi sana kutafuta goli mbili sio mchezo na siku hizi bahasha za kaki hawatoi kabisa uefa tusubiri vioja tu..

Una huakika na unachosema kijana? Au unafananisha barc na man city?
Barc ina uwezo wakupata hizo Goli mbili
 
i bet the champions league final will be juve na bayern aka bavarian..


Hao wote wawili uliowataja hawana historia ya kunisu,bua katika kombe hili...
Ntachapa mmoja baada ya mwingine.
Naanza na huyu mshambenga wa kwanza leo
 
hah hah hah hah mkuu naona unaucheza mpira kwa maneno
leo barca wakifungwa na millan natafuna maji


Hah hah haaaah Milan nipeni rrrraha nimzibe mdomo mtu fudenge
 
Gang Chomba unachonishangaza ni kuanza kumtaja refa kabla ya mechi..ni kama unaandaa pa kuegemea!! si tusubiri baada ya game kama refa atakuwa ameuma tutaona! Binafsi naamini kwa uchezaji wa Barca leo game itakuwa ngumu kwenu mnaweza hata kupata red maana mwaweza pigwa vyenga na kugongewa pasi za maudhi na hatari..natabiri Milan kulowa pale Camp Nou leo na Messi kushine!! Wapi Companero


Companero hawezi jitokeza muda huu...
we subiri uone ngoma ngumu zitakavyowakaba hao nduguzo.
 
Last edited by a moderator:
Gang Chomba mzee wa Gaucho...yule mwana wa kujidai na mpira jinsi atakavyo....yule aliyefanya watu wengi waipende La masia....leo unaikataa wazi wazi Barca.....nakuhakikishia Milan leo watautafuta mpira kwa tochi...kila wakiupata itakuwa pale wanapoutoa nyavuni kwenda kuanza pale kati kati.....Barca balaa hata ikiwa na makocha wasaidizi tupu...


Huijui Milan sheikh wangu...
Milan ni kama maji.
Usipoyaoga ukiwa hai...basi utaogeshwa ukiwa maiti.
Hao Barca walishaogeshwa Sansiro na leo wakifanya mchezo tutalimwagia maji kaburi lao.
 
Last edited by a moderator:
Hao wote wawili uliowataja hawana historia ya kunisu,bua katika kombe hili...
Ntachapa mmoja baada ya mwingine.
Naanza na huyu mshambenga wa kwanza leo

haya ngoja tuone nini kitatokea baada ya leo..
 
Back
Top Bottom