Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
Messi na Xavi hawamo?
Wanaachia ushuzi tu hapa!
Messi na Xavi hawamo?
Mkuu tunaishi mtaa mmoja nn? Mi Bonyokwa huku wamekata
wanabebwa barca dakka tanokumbe milan ndio wanabebwa na refa, mambo ya rede na netiboli kwenye futiboli ndio nini!
Mie nipo Chunya mkuu!baridi kali sana...ila umeme ni msamiati!
Yaani watabiri wa jukwaa leo naona mambo magumu.
Mavi ya kale yananuka leo
Kanzu na sarakasi leo imekubali
Ving'amuzi vinashika mpaka Chunya. Kweli JK atajivunia akitoka madarakani