Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
- Thread starter
- #261
Ha ha ha ha,, pamoja na sifa zote hizo ukilinganisha kikosi cha milan na barca haviendani kabisa,,
We forward shaarawy sijui pazini wenzako forward messi,
Katikati we una boateng sijui montolivo wenzako Xavi na Iniesta..
Beki una Abate sijui Zapata wenzako wana puyol, pique, bousquet, all about world cup/euro winners
Kitachotokea ni zaidi ya arsenal na bayern jana,, mtu mzima ataaibishwa Turati leo
Siku nyingine usije kurupuka kuwadhihaki Milan...