leteni updates kwangu umeme umekatwa....plz
Umeona mkuu wangu? Watu hawajui kama kuna kitu kinaitwa factor of safety.............. Kwa mfano msome huyu hapa chini..................
Plan B? Yanini kama Plan A inalipa? Maisha ni leo au kesho??? Damn!!!!!
leteni updates kwangu umeme umekatwa....plz
Dk 82 milan 2 - 0 barca
Mimi umeme upo ila king'amuzi kimeishiwa hela ya DTVMkuu tunaishi mtaa mmoja nn? Mi Bonyokwa huku wamekata
Sulley Muntali kafunga la pili ac2_barca0, dk 80Hilo 1 ulilowapa Milan amefunga nani, sijaona Mchezaj wa Milan ambae anaeza akawafunga Barca leo. Ila kwa kuwa Bahati ipo ktk soka lolote laweza tokea.
Milan 2 - 0 wacatalunya
Mimi umeme upo ila king'amuzi kimeishiwa hela ya DTV