Lissu yuko frustrated tumuache apone kwanza

Lissu yuko frustrated tumuache apone kwanza

Kwani nilazima uanzishe maada? My friend think big achana na kuanzisha thread ilikujikimu na njaa yako au kupalilia cheo chako. Mnaboa sana.
lakini si amewaeleza ukweli nyie mapoyoyo...eti Magufuli ndie aliyevunja mkataba..!!! khaaa..unajua dhambi nyingine za kutenda kimakusudu kama hizi walahi lazima zimrudie..unaweza kukuta badala ya kupona akabaki kuwa kilema yaani disabled kwa sababu tu ya kutunga uongo kwa Rais.kwanza mtu mwenyewe tayari ana laana ya marehem baba wa Taifa..halaf anaongeza mengine...dooo...atavuna hiki anachopanda
 
Nilikuwa najiuliza sana,mbona Kalemani hajibu tuhuma za kuondoa CCTV cameras toka aanze kuhusishwa nazo? Jana tukataarifiwa tena kuwa. kumbe CCTV zilikuwa kwa Lisu mwenyewe.Muda utaongea yeye aendelee tu kujichanganya wala asisubirie kupona.
 
Nilikuwa najiuliza sana,mbona Kalemani hajibu tuhuma za kuondoa CCTV cameras toka aanze kuhusishwa nazo? Jana tukataarifiwa tena kuwa. kumbe CCTV zilikuwa kwa Lisu mwenyewe.Muda utaongea yeye aendelee tu kujichanganya wala asisubirie kupona.
Kabisa
 
Nilikuwa najiuliza sana,mbona Kalemani hajibu tuhuma za kuondoa CCTV cameras toka aanze kuhusishwa nazo? Jana tukataarifiwa tena kuwa. kumbe CCTV zilikuwa kwa Lisu mwenyewe.Muda utaongea yeye aendelee tu kujichanganya wala asisubirie kupona.
Hizi taarifa mpya za CCTV zikoje mkuu? Naomba ufafanuzi kidogo tafadhali.
 
Wewe huna hata chembe ya aibu wala huruma kwa kiumbe mliye kusudia kumtoa uhai lkn mungu akawakatalia una muita majina ya hovyo kabisa,wewe ni sawa na shetani au mbwa koko tu
We una uhakika gani,? Tatizo asilimia 70 % ya wafuasi wa CHADEMA ni mazuzu, nitapata muda kulieleza ilo
 
Yale madawa ya nusu kaputi kwa oparesheni karibia ishirini hayawezi kumuacha mtu salaalma..ila pia tusisahau bado ana risasi kwenye uti wa mgongo ikiendelea kummaliza taratibu..tuzidi kuomba
 
Kuna watu shida yao siyo ccm wala raisi Magufuli shida ni kutaka madaraka hata kwa kuvunja amani ya nchi.
 
Yale madawa ya nusu kaputi kwa oparesheni karibia ishirini hayawezi kumuacha mtu salaalma..ila pia tusisahau bado ana risasi kwenye uti wa mgongo ikiendelea kummaliza taratibu..tuzidi kuomba
Amen
 
Kwani lazima ajulikane, wa ajabu kweli ww, unadhani wote wanaorun hii nchi wanajulikana
ukiwa mtu muhimu lazima watu wakujue...hata daktari bingwa muhimbili anajulika ...MTU wa ajabu mamako alikuzaa kupitia mlango wa nyuma
 
We una uhakika gani,? Tatizo asilimia 70 % ya wafuasi wa CHADEMA ni mazuzu, nitapata muda kulieleza ilo
Huyo jamaa sijui anamiliki hisa kubwa JF au ni nini haswa nimeshindwa kuelewa. Huwa anatukana sana watu humu tena Matusi ya ajabu sana. Lakini nashangaa Mods wanamuangalia tu. Labda ana kazi maalum humu JF.
Fuatilia posts zake utanielewa mkuu.
 
Una uhakika ananizidi? Kwa taarifa yako hanizidi kitu
Swafiiii sana!
Maana yeye yuko under influence!
Painkillers ni ulevi wa hali ya juu!
OxyContin ni shughuli walahi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom