eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Kama wewe Ulivyo na kichaa cha vichaa
Kama hakuzidi kitu na unaandika huu upuuzi basi wewe ni zaidi ya boya.Una uhakika ananizidi? Kwa taarifa yako hanizidi kitu
Acha [emoji90] [emoji90] [emoji90] hovyo mchana kweupe sokoni.lakini si amewaeleza ukweli nyie mapoyoyo...eti Magufuli ndie aliyevunja mkataba..!!! khaaa..unajua dhambi nyingine za kutenda kimakusudu kama hizi walahi lazima zimrudie..unaweza kukuta badala ya kupona akabaki kuwa kilema yaani disabled kwa sababu tu ya kutunga uongo kwa Rais.kwanza mtu mwenyewe tayari ana laana ya marehem baba wa Taifa..halaf anaongeza mengine...dooo...atavuna hiki anachopanda
Wewe mwenyewe kama binadamu ni kilema mtarajiwalakini si amewaeleza ukweli nyie mapoyoyo...eti Magufuli ndie aliyevunja mkataba..!!! khaaa..unajua dhambi nyingine za kutenda kimakusudu kama hizi walahi lazima zimrudie..unaweza kukuta badala ya kupona akabaki kuwa kilema yaani disabled kwa sababu tu ya kutunga uongo kwa Rais.kwanza mtu mwenyewe tayari ana laana ya marehem baba wa Taifa..halaf anaongeza mengine...dooo...atavuna hiki anachopanda
Punguza kupayuka payuka wewe poyoyo utakuja kuulizwa ushahidi utashindwa la kusemaNilikuwa najiuliza sana,mbona Kalemani hajibu tuhuma za kuondoa CCTV cameras toka aanze kuhusishwa nazo? Jana tukataarifiwa tena kuwa. kumbe CCTV zilikuwa kwa Lisu mwenyewe.Muda utaongea yeye aendelee tu kujichanganya wala asisubirie kupona.
Ulikua darasa la nne mwaka jana labda.Nilikuwa najiuliza sana,mbona Kalemani hajibu tuhuma za kuondoa CCTV cameras toka aanze kuhusishwa nazo? Jana tukataarifiwa tena kuwa. kumbe CCTV zilikuwa kwa Lisu mwenyewe.Muda utaongea yeye aendelee tu kujichanganya wala asisubirie kupona.
Ukiona mtu mwenye akili za Musiba fahamu kwamba vyeti vimegoma na kubinjuka napo kumegoma, amebaki kuwa fungu la mchicha.Pumzika kwa Amani Mlinzi wa Mwenyekiti wa Chadema (Taifa) uliyekutwa umejinyonga katika Mazingira tatanishi.
Vipii kuhusu yulee mgonjwa mwingine anayejinadia ugonjwa wake majukwaani?Mkuu mimi naheshimu maoni yako kabisa...ni kweli Lissu bado ni mgonjwa tumuombee apone.
Kichaa kichaa wako ameporomoka kwenye umaarufu....TUNAWEZA.We una uhakika gani,? Tatizo asilimia 70 % ya wafuasi wa CHADEMA ni mazuzu, nitapata muda kulieleza ilo
Wewe ni dume la mbegu maana kwa kuuanika ukweli na kumsema TL hapa JF ni kijilipua au uingia katika zoo la Simba wenye njaa!Naamini Lissu ni mtu muhimu kwa kutetea wananchi wanyonge tumeona Mara kadhaa anaenda mahakamani hata bila malipo kuwatetea walioonewa au kubambikiwa kesi.
Lakini kwa sasa naona anajuta kuzidiwa mbinu na Kyagulanyi Ssentamu kuweza kuitisha conference ya kimataifa na kuishtaki Serikali ya Museveni.
Nikajiuliza hivi Lissu kwanini naye hasiite wanahabari wa kimataifa akayaanika hayo mabaya aliyofanyiwa na Serikali, lakin jibu la haraka nikajua the guy is just suspecting ,hana chochote cha ku prove kwamba Serikali ndio wamempiga risasi.
Lakini mbaya zaidi Lissu kupitia waraka wake wa Jana anaendelea kudanganya hasa watanzania wajinga kwamba kutokana na kupiga kelele juu ya ndege iliyokamatwa Canada kwa sababu ya deni ambalo kasababisha Magufuli kuvunja mkataba wa ujenzi wa barabara akiwa waziri wa ujenzi, hapo ndipo nikaona mheshimiwa bado anahitaji kuendelea na matibabu, Kipindi hicho aliyevunja mkataba hakuwa Magufuli, maana hakuwa waziri wa ujenzi, alikuwa waziri wa uvuvi, Sasa Lissu anazidi kiwadanganya mapoyoyo wa hapo Tanzania na kushangilia.
Pili si kweli kwamba ana uhakika kwamba Serikali inahusika, hivo aache kutoa hukumu mapema kabla ya uchunguzi kumalizika, hili halipiti hivi hivi.
R.I.P mlinzi wa Mbowe ambaye ulikutwa umekufa kwa mazingira ya kutatanisha
HahaWewe ni dume la mbegu maana kwa kuuanika ukweli na kumsema TL hapa JF ni kijilipua au uingia katika zoo la Simba wenye njaa!
Una uhakika ananizidi? Kwa taarifa yako hanizidi kitu
Mtumeeelakini si amewaeleza ukweli nyie mapoyoyo...eti Magufuli ndie aliyevunja mkataba..!!! khaaa..unajua dhambi nyingine za kutenda kimakusudu kama hizi walahi lazima zimrudie..unaweza kukuta badala ya kupona akabaki kuwa kilema yaani disabled kwa sababu tu ya kutunga uongo kwa Rais.kwanza mtu mwenyewe tayari ana laana ya marehem baba wa Taifa..halaf anaongeza mengine...dooo...atavuna hiki anachopanda
Kidume jamaa huyu, ameongea kweli tupu walahi !Wewe ni dume la mbegu maana kwa kuuanika ukweli na kumsema TL hapa JF ni kijilipua au uingia katika zoo la Simba wenye njaa!
Unahangaika kumtetea shetani mda wote, sasa unajaribu kukusanya na matukio ya shetwani wengine ilimradi ufurahishe shetani wako. Iko siku utatoa hesabu ya unayoandika kuumiza upande unaoonewa. Labda unafaidika wewe ila watoto au ndugu iko siku watakua wahanga wa haya unayoshabikia who knows tomorrow?Naamini Lissu ni mtu muhimu kwa kutetea wananchi wanyonge tumeona Mara kadhaa anaenda mahakamani hata bila malipo kuwatetea walioonewa au kubambikiwa kesi.
Lakini kwa sasa naona anajuta kuzidiwa mbinu na Kyagulanyi Ssentamu kuweza kuitisha conference ya kimataifa na kuishtaki Serikali ya Museveni.
Nikajiuliza hivi Lissu kwanini naye hasiite wanahabari wa kimataifa akayaanika hayo mabaya aliyofanyiwa na Serikali, lakin jibu la haraka nikajua the guy is just suspecting ,hana chochote cha ku prove kwamba Serikali ndio wamempiga risasi.
Lakini mbaya zaidi Lissu kupitia waraka wake wa Jana anaendelea kudanganya hasa watanzania wajinga kwamba kutokana na kupiga kelele juu ya ndege iliyokamatwa Canada kwa sababu ya deni ambalo kasababisha Magufuli kuvunja mkataba wa ujenzi wa barabara akiwa waziri wa ujenzi, hapo ndipo nikaona mheshimiwa bado anahitaji kuendelea na matibabu, Kipindi hicho aliyevunja mkataba hakuwa Magufuli, maana hakuwa waziri wa ujenzi, alikuwa waziri wa uvuvi, Sasa Lissu anazidi kiwadanganya mapoyoyo wa hapo Tanzania na kushangilia.
Pili si kweli kwamba ana uhakika kwamba Serikali inahusika, hivo aache kutoa hukumu mapema kabla ya uchunguzi kumalizika, hili halipiti hivi hivi.
R.I.P mlinzi wa Mbowe ambaye ulikutwa umekufa kwa mazingira ya kutatanisha
KabisaaMkuu mimi naheshimu maoni yako kabisa...ni kweli Lissu bado ni mgonjwa tumuombee apone.
Kabisaa