Lissu: Wanaohama CHADEMA wasiwatishe

Lissu: Wanaohama CHADEMA wasiwatishe

Hamahama haikuanza leo na haitaisha ila ni ufinyu tu wa akili kufikiria ukinunua watu utaua upinzani. Hakuna nchi duniani itakaa eti isiwe na upinzani, forget it.
 
Endeleeni kuchangia pesa ya pop, mbona hatujasikia kauli yake, isijekuwa mnamlisha maneno
 
CCM with best Democracy money can buy
 
Ni vzri kukiri kuwa ndani ya chama kuna wasaliti kuliko muda wote kufikiri ni manunuzi tu...wasaliti Wamo, na msaliti siyo lazima umnunue..
Hapajawahi duniani kutokea usaliti usio na thamani ya pesa au wapesa yenyewe.
Hivyo kukiri kuwa kuna wasaliti ni sawa na kusema wananunuliwa.
 
Viongozi wanaonunuliwa hawana lolote kwakuwa nguvu yao inatokana na sisi,na sisi tumeamua kuwaacha waende tukiwa tumewakataa,
Hayo ni magarasa.
 
Hapajawahi duniani kutokea usaliti usio na thamani ya pesa au wapesa yenyewe.
Hivyo kukiri kuwa kuna wasaliti ni sawa na kusema wananunuliwa.
Kukiri hivyo ni kama kukiri kwamba bado chama hakijawa tayari kushika madaraka ya hii nchi, kma watu wake wanaweza kununuliwa kwa pesa wataiongozaje nchi sasa?
 
Huyo mgonjwa atulie tuu, jahazi ndio hilooooo lazama
 
Hivi CHADEMA nyie ndio mmekuwa mboga kiasi hiki? Yani kwamba sasa na ninyi mnafika bei? Alafu sasa mnakuja kulilia hapa kwamba mnafika bei bila aibu?

Najiuliza tu, mngepewa nchi ingekuwaje? Maana hao mnaosema wamenunuliwa ndio wamgekuwa mawaziri wenu hao. Ndio ambao wangekuwa wawakilishi wa rasilimali zetu dhidi ya mabepari, sasa ingekuwaje?

Wanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?
 
Inawezekana kweli wana bei kama mamvi aliwanunua wote.... Ni kinashindikana saiv.. Ni kama madada poa,, jana kauza kwa flani leo mwingine, kesho mwingine hahahahaha
 
Chadema wanautangazia Umma kuwa Viongozi wake wananunulika kirahisi!

Inawezekana hata nafasi za kugombea walizinunua kwa Mbowe ndio sababu hawaoni Shida kuziuza!

Mbowe tangu alipokubali kununuliwa na Lowassa hiyo tabia imesambaa kwa wa chini yake na Chadema wanatangaza yenyewe kuwa Wabunge na Viongozi wake wana price tag!
 
Siasa bwana ni mchezo mchafu.
Hivi chadema nyie ndio mmekuwa mboga kiasi hiki? [emoji28][emoji28][emoji28] yani kwamba sasa na ninyi mnafika bei? Alafu sasa mnakuja kulilia hapa kwamba mnafika bei bila aibu?

Najiuliza tu, mngepewa nchi ingekuwaje? Maana hao mnaosema wamenunuliwa ndio wamgekuwa mawaziri wenu hao! Ndio ambao wangekuwa wawakilishi wa rasilimali zetu dhidi ya mabepari, sasa ingekuwaje?

Wanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?

Kama kweli wananunuliwa basi hao si wanachama waaminifu kwa Chama chao, lakini pia siasa bwana ni ushindani, hebu na CHADEMA wajaribu kununua waone kama inalipa!
 
Kosa moja halihalalishi kosa lingine.

Lowassa alifika bei kwa Chadema kama CCM wasemavyo.

Wengine wananunuliwa sasa hivi kama CHADEMA wasemavyo.

Ila tabia ya kununuliwa sio nzuri,inaleta picha mbaya endapo CHADEMA ingeshika nchi.

Mawaziri wangenunuliwa.

Raisi angeikabidhi nchi kwa mabepari kwa kuiuza na kununuliwa.

Rushwa ingetamalaki.

Hii hoja ya kununuliwa wanachadema iangalieni inaleta picha mbaya kwa chama.
 
Zikiwa zimebaki siku chache Mkutano Mkuu wa hawa mabwana uanze,ni lazima maandalizo ya kuwapokea wasaliti yaanze sasa na mojawapo ni wasaliti kutangaza kujiuzulu hivyo hili zoezi linaweza kuendelea mpaka siku moja kabla ya Mkutano Mkuu kuanza.

Wote hawa watapokelewa siku ya Mkutano Mkuu mbele ya Baba Mflame huku Camera zikimulika.

Wanakoelekea watatamani hata kununua kivuli cha CHADEMA kwa jinsi wanavyoiogopa maana CHADEMA haiwezi kufa na uwepo wake ni tishio kwa hawa waoga.
 
Back
Top Bottom