Lissu: Wanaohama CHADEMA wasiwatishe

Lissu: Wanaohama CHADEMA wasiwatishe

Hivi chadema nyie ndio mmekuwa mboga kiasi hiki? [emoji28][emoji28][emoji28] yani kwamba sasa na ninyi mnafika bei? Alafu sasa mnakuja kulilia hapa kwamba mnafika bei bila aibu?

Najiuliza tu, mngepewa nchi ingekuwaje? Maana hao mnaosema wamenunuliwa ndio wamgekuwa mawaziri wenu hao! Ndio ambao wangekuwa wawakilishi wa rasilimali zetu dhidi ya mabepari, sasa ingekuwaje?

Wanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?
Aibu kama mnanunuliwa INA maana mnajiuza!!?
 
Ni wazi viongozi upinzani ama wameishiwa pumzi, mbinu, mikakati, na sera: au vyuma vimewakazia Kwa hiyo wanasaka vilainishi....

Ninashauri wenye mipango ya kuhama wafanye hivyo mapema upinzani uje mpya
 
Ili Mti Unawiri vizuri Sharti Majani yadondoke yaliyochoka yadondoke. (Kwa wanaojua miti). Kwa wasomaji wa Biblia Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Je Nanyi mwataka kuondoka?" Ni vema miti ipukutike majani yaliyochoka
 
Ili Mti Unawiri vizuri Sharti Majani yadondoke yaliyochoka yadondoke. (Kwa wanaojua miti). Kwa wasomaji wa Biblia Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Je Nanyi mwataka kuondoka?" Ni vema miti ipukutike majani yaliyochoka
 
Kwa hiyo nyie mnajiuza? kwa hiyo mnanunulika? kwa hiyo mgeuza nchi yetu?
 
Mkuu mleta mada nakuonea huruma!

Hii jambajamba mnayopewa na ccm si ya nji hii
 
Una bahati sana siasa siijui, la si hivyo ningekuchana balaa.
 
Kosa moja halihalalishi kosa lingine.

Lowassa alifika bei kwa Chadema kama CCM wasemavyo.

Wengine wananunuliwa sasa hivi kama CHADEMA wasemavyo.

Ila tabia ya kununuliwa sio nzuri,inaleta picha mbaya endapo CHADEMA ingeshika nchi.

Mawaziri wangenunuliwa.

Raisi angeikabidhi nchi kwa mabepari kwa kuiuza na kununuliwa.

Rushwa ingetamalaki.

Hii hoja ya kununuliwa wanachadema iangalieni inaleta picha mbaya kwa chama.
Hapana tatizo fuba la ruzuku tu liwekwe mezani watu wapige pasu kwa pasu yasingetokea haya yote
 
Hata NCCR walikuwa wanaamini ndiyo wanaimarika zaidi pale omega Yao ilipofika.

Nyie jibaraguzeni Tu ila muda utatoa majibu.
 
Hivi chadema nyie ndio mmekuwa mboga kiasi hiki? [emoji28][emoji28][emoji28] yani kwamba sasa na ninyi mnafika bei? Alafu sasa mnakuja kulilia hapa kwamba mnafika bei bila aibu?

Najiuliza tu, mngepewa nchi ingekuwaje? Maana hao mnaosema wamenunuliwa ndio wamgekuwa mawaziri wenu hao! Ndio ambao wangekuwa wawakilishi wa rasilimali zetu dhidi ya mabepari, sasa ingekuwaje?

Wanaume wazima mnalia kununuliwa kweli bila aibu?
Hawaoni aibu kwa sababu kweli wao ni cheap labor
 
Ili Mti Unawiri vizuri Sharti Majani yadondoke yaliyochoka yadondoke. (Kwa wanaojua miti). Kwa wasomaji wa Biblia Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Je Nanyi mwataka kuondoka?" Ni vema miti ipukutike majani yaliyochoka
 
Ili Mti Unawiri vizuri Sharti Majani yadondoke yaliyochoka yadondoke. (Kwa wanaojua miti). Kwa wasomaji wa Biblia Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Je Nanyi mwataka kuondoka?" Ni vema miti ipukutike majani yaliyochoka
CCM ilipukutisha majani makavu 2015 chadema ikayavamia kwa kasi
 
Back
Top Bottom