Mzee Wasira makamu mwenyekiti wa CCM amemwuliza Lissua awaambie watanzania atatumia njia gani kuzuia uchaguzi ili msimamo wao wa "No reform no election" utekelezeke
..unataka akwambie mbinu zake ili umkwamishe?
..Wassira aeleze kwanini CCM hawataki reforms wakati falsafa ya Mwenyekiti ni 4R?
..au sasa tumekuwa 3R, Reforms haipo?