Soma namba 8(a)Mbona hazungumzii ukwepaji kodi wa acacia?
Sasa kama wanaleta mipasho waachwe hivi hivi haiwezakaniki, tena wanatumia vitisho.Hivi nyie viongozi wetu kuchambana mtamaliza lini..?? Kila kukicha vichwani mwenu mnawaza " Nimjibuje Lissu, Nimjibuje Magu, Nimjibuje Polepole..,, Hayo maendeleo ya nchi yetu mnayawaza masaa mangapi kwa siku..?? Punguzeni kunyoosheana vidole na kuchambana ifike muda mfikirie mbinu za kututoa kwenye huu umaskini jamani...!!
Khaa..!! Watu tutakufa tufufuke bado Tanzania iko hapahapa mmekazania Kuchambuana washenzi nyie., Tumewaamini aminikeni bhasi na nyie, Tukisema kila mmoja aone mabaya atake kuchukua nchi Patatosha kweli...??
Labda niisome kichwa chini mguu juuSoma namba 8(a)
UUwe unakula kwanza mkuu Lissu ameanisha hoja nzito sana. Kama taifa tunatakiwa kujitafakari. Dunia ya sasa usisaini mikataba hovyohovyo na lazima kuendesha mambo kisomi. Inawezekana ACACIA hawajasajiliwa ila wakatushinda mahakamani.Nitasoma asubuhi hizi saint anne zishapanda kwenye medulla
Tatizo sisonje analeta siasa uchwala za kuchafuana na uongo, sasa hakuna mtu atakayekubali, hivi angewasilisha bila kuchafuana mbona isingekuwa tatizoLissu huwenda unahoji vyema , sema.una haraka mno. Mambo yote uliyoyahoji ni mapendekezo ya sasa ya Rais kuokoa Jahaza jili lililotoboka , ila umejaribu kuyahoji kimmhemuko sana na kwa speed ya hali ya juu.Kila jambo litatendekea kwa utaratibu wake, sidhani kama hayo yote uliyojaribu kuyahoji yangeweza kufanyika leo.
2. Unapose kipindi fulani mlihoji kuhusu mikataba mkapuuzwa , je mngependelea kuendelea kupuuzwa ? Au ni ipi Logic ya kile unachotaka kukihoji.
Lissu kila linapotokea sakata haishiw maneno lazima apingane bora ukae kmya ili alie liamsha dude alimalize we baki na sheria yako huko c tunasubr tuone mwisho wakeMmmh Lissu......
Kuna haja gani ya kutoa mapendekezo ambayo hayafuatwi? For 19 years wametoa mapendekezo na yanabezwa hadi leo ndio wanagundua kuwa walikosea kutoyafuata?mmh! Namwelewa Tundu Lisu lakini hatoi mapendekezo. Hapo ndipo nguvu ya upinzani inapokosekana. Lisu na wenzake wanapaswa kuja na mapendekezo mbadala kama hayo aliyoagiza Mkuu wetu yana kasoro na siyo maneno tu kama hivi.
Mapendekezo yapo mengi sana, lakini tatizo kwenye uchambuaji mapendekezo yao yatatupiliwa mbali na wao pia kuswekwa nje kisa akisimamia ukweli anaambiwa ameroporoka.mmh! Namwelewa Tundu Lisu lakini hatoi mapendekezo. Hapo ndipo nguvu ya upinzani inapokosekana. Lisu na wenzake wanapaswa kuja na mapendekezo mbadala kama hayo aliyoagiza Mkuu wetu yana kasoro na siyo maneno tu kama hivi.
Kadri siku zinavyoonda maneno "mnafiki" na "msaliti" yanakosa maana au watumiaji hawajui maana yake!Ninachosoma ni hoja zilizojaa jazba na masuala ambayo kwa sasa ni dead letter.
Naona Lissu anakomaa eti serikali ikajiondoe kwenye MIGA na BITs ili mipango ya uwekezaji nchini isifanikiwe. Serikali imesema haijiondoi kwenye MIGA na BITs kwa sababu ya kampuni moja.
Hii dhana ya kusema ''mimi nilipigania sana hizi sheria zifutwe'' ni unafiki fulani kwa maslahi na mtaji wa kisiasa.
Kwa hiyo kama alipigania ndio wengine wasipiganie?
Sawa...ndugu
Tumetofautiana mitazamo na maoni hata mambo yenye taswira za kufanana......