HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,937
Lissu kila akimsikia Magufuli anaonge lazima ajibu. Mbowe anaangalia sinema tu lakini anajua wapi korongo lilipo.
Magufuli hawezi kusafiri nje kisa anaogopa wapigaji?
What the flip is that?
Ndo Magu alivyowahi kusema au ni ubunifu wa fikra za Lissu tu?
Kuhusu Bi. Shonza....dada mshari sana huyo.
Halafu sijui anajiamini nini tu maana mmoja wa wale wabunge wa CHADEMA [simjui jijna] ni bonge la jimama.
Likimlalia Bi. Shonza linam-suffocate kabisa😀
Magu hajui kabisa kuzungumza.
Kama hivyo ndivyo alivyosema basi si ajabu alimaanisha kitu kingine kabisa.
Kasikilize hotuba yake alioitoa uko Mwanza. Sio kila kitu unabisha .
Utauchukua wewe?Huyu Lisu sizani kama atapata ubunge 2020.
Ni vigumu kumuua nyoka aliyeingia ndani ya kibuyu bila kuvunja kibuyu kama ilivyo vigumu kuwamaliza wapiga dili bila kuiua CCM kwanza.amevunja ukimya akisema kwamba anataka kwanza kumaliza wapiga dili ambao akiondoka wataweza kufanya mambo ya ajabu.
Huyu jamaa hana akili kabisa....hana kumbukumbu kabisa...kazi yake kukariri km za barabara na idadi ya samaki bahari ya Hindi ndo anachoweza....MAMBO YA NCHI HAPANA NI MVUGAJI NA MKURUPUKAJI MKUU WA NCHIAlivyoenda Ethiopia kwahiyo hakuogopa wapigaji ?
Daaah!Aisee!Alisema jana kuwa ananyoosha nchi kwanza, kwa mfumo wa nchi yetu, Rais ndiye kila kitu, hivo Mh. Rais anajua kabisa akiondoka tu hali inaweza kubadilika huku nyumbani.
Kikwete aliwaachia uhuru wa kutosha mawaziri na watendaji wake serikalini yeye akawa anazurura tu nje ya nchi, yaliyotokea kila mtu anayajua
Anamwacha apumzike. Viliagizwa kwa mbwembwe wakati BRN imepamba Moto, sasa hivi wanavikataa. What a shame!Mbona aliye agiza vichwa vya treni anamfahamu lakini anapiga kelele pembeni bila kumnyookea???
Language Improficiency..
Lack of Exposure..
Poor on International Diplomacy
These are his main problems which make him not to get out of the Country.
Kwani mimi nimebisha nini na nimebisha wapi?
Na wewe hujalazimishwa kuchangia, kama imekukera ni bora ukae kimya uumie kimoyo moyo.Ila wabongo mnakera sana kuzungumzia kila kitu, hata kama hamkijui vizuri. Why vitu vingine visiachwe vikapita tu.
- Kila kitu neno kwa neno, nukta kwa nukta, kauli kwa kauli - Kila kinachokatiza mbele lazima watupie komenti. Tumebarikiwa sana kwa hili asee na laiti kama kungekuwa na mashindano ya kupiga domo, tusingekuwa na MPINZANI Duniani