Alitumia muda mwingi sana kuandaa serikali yake ili apate watu makini, akasema hawezi kuteua mtu bila kupitia faili lake, hao hao leo anashindwa kusafiri nje kisa akiwaachia ni wapiga dili, tumuelewe vipi?,japo baraza la mawazili alilo teua ilibidi atumie wiki moja.