Na akifa leo je?
au yeye ni nabii fulani?
Ila wabongo mnakera sana kuzungumzia kila kitu, hata kama hamkijui vizuri. Why vitu vingine visiachwe vikapita tu.Magu hajui kabisa kuzungumza.
Kama hivyo ndivyo alivyosema basi si ajabu alimaanisha kitu kingine kabisa.
Ndio shida yenu, mnadhani anaposemwa Magu ni kwa vile ni mwenyekiti wa ccm. Anazungumziwa kwa vile yeye ni wa Taifa zima huko ndani ya ccm watajijua wenyewe maana mambo ya ndani ya chama ni ridhaa ya wanachama wenyewe ndio maana hata Kile cha Mtikila yeye kafa mkewe kachukua uenyekiti na hakuna mtu wa nje ya chama anahangaika nao.Ubunge atapata, lakini amulike na upigaji wa mbowe chadema kwa kusingizia kukikopesha chama.
Anazidi kutapatapa. Kina kinaongezeka na mawimbi piaSio tena anakwepa gharama bali kwa sasa anapambana n wapigaji!Nachokumbuka alishapata kusema hatasafiri na hasafiri kwa sababu ya GHARAMA na yeye anabana matumizi
Ubunge atapata, lakini amulike na upigaji wa mbowe chadema kwa kusingizia kukikopesha chama.
Pangua zote, au moja Kati ya hizo ulizoziona.Hoja ya lissu ni ipi mbona kuna mchanganyo wa mada?
Unajua Magu anaweza Ondoka kirahisi sana kwenye Uchaguzi ujao pamoja na mikwara na jitihada zake za kutaka kuua upinzani kwa Udikteta.
Kutumia nguvu kubwa mwazon, mwishon huwa kunakuwa kugumu
Hivi wewe unafikiri kila anayeusema uovu wa mbowe ni ccm?! Kama ni uanachama wa chadema, mimi ni mwanachama mkongwe since 1998, did you know that?Ndio shida yenu, mnadhani anaposemwa Magu ni kwa vile ni mwenyekiti wa ccm...
Language Improficiency..
Lack of Exposure..
Poor on International Diplomacy
These are his main problems which make him not to get out of the Country.
Ni ya nani?!Maudhi yenu ndo hayo. Upigaji dili wa chadema unamzuiaje Magu kusafiri kwenda Ethiopia kukaa na viongozi wenzake?? Au ndo anampa exposure huyu Mama yetu ili ampishe 2020?? Acha kuharibu thread za watu. CDM sio yako
Lissu ameongea vyema!!!!! ndio "IF" halafu "IF" obviously woteee!!! pamoja na mie ni "wapigaji".Alisema jana kuwa ananyoosha nchi kwanza, kwa mfumo wa nchi yetu, Rais ndiye kila kitu, hivo Mh. Rais anajua kabisa akiondoka tu hali inaweza kubadilika huku nyumbani.
Kikwete aliwaachia uhuru wa kutosha mawaziri na watendaji wake serikalini yeye akawa anazurura tu nje ya nchi, yaliyotokea kila mtu anayajua
Kwan alivyoenda ethiopia na rwanda alikuwa haogop hao wapiga dili, au kwan akienda harudi tena nchini ?Alisema jana kuwa ananyoosha nchi kwanza, kwa mfumo wa nchi yetu, Rais ndiye kila kitu, hivo Mh. Rais anajua kabisa akiondoka tu hali inaweza kubadilika huku nyumbani.
Kikwete aliwaachia uhuru wa kutosha mawaziri na watendaji wake serikalini yeye akawa anazurura tu nje ya nchi, yaliyotokea kila mtu anayajua
Kama ni mwanachama tokea 1998 na hujui mfumo wa fedha wa chama basi ni tatizo. Hesabu za chama zinakaguliwa baada ya taarifa yake kuhojiwa ndani ya Kamati kuu. Na kabla ya 2015 kulingana na uhaba wa fedha ilikuwa ni kawaida kwa mwanachama yeyote kukikopesha chama fedha au huduma kwa utashi wake na wengi tulifanya hivyo.Hivi wewe unafikiri kila anayeusema uovu wa mbowe ni ccm?! Kama ni uanachama wa chadema, mimi ni mwanachama mkongwe since 1998, did you know that?
Kwa sasa itabidi apite bila kupingwaHuyu Lisu sizani kama atapata ubunge 2020.
jifanye msemaji wake fafanua alimaanisha nini ?Magu hajui kabisa kuzungumza.
Kama hivyo ndivyo alivyosema basi si ajabu alimaanisha kitu kingine kabisa.