Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,227
- 14,194
Atapata tena kwa kura nyingi tu kalaghabaho.Huyu Lisu sizani kama atapata ubunge 2020.
Atapata tena kwa kura nyingi tu kalaghabaho.Huyu Lisu sizani kama atapata ubunge 2020.
Local Diplomacy hakuna hiyo ya kupeleka nje inatoka wapi !!??Language Improficiency..
Lack of Exposure..
Poor on International Diplomacy
These are his main problems which make him not to get out of the Country.
Sio siri hamfiki Mwalimu ataa 25% kiuongozi na ufuatiliaji .lakini ilifikia wakati ikawa Mwalimu ni kama ameachiwa mwenyewe kuongoza ndio maana akajishtukia kabla wananchi nao hawaja muacha kumuunga mkono akangatukaKama anaogopa kusafiri kwasababu ya wapigaji, basi lazima atabaki madarakani indefinetly kwasababu hiyo hiyo hiyo ya wapigaji.Cha kubadilisha hapa ni mfumo. Mbona mwalimu walifanikiwa kumdanganya na alikuwa akifuatilia pengine kuliko Huyu wa sasa.