Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Kiakiliccm ndivyo ilivyo lakini kuna mengi kinyume na hivyo...anakwenda kutafuta support, lakini anajisumbua sana
Tatizo letu kubwa ni ukosefu wa kumbukumbu... mfano wa Kambona unatutosha... mfano wa utaifishaji na "sajili jumba!!" Mfano wa hotuba ya Lake Tanganyika 80s na matokeo ya mwisho.... aaah acheni tujenge nchi