Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,058
Kumbe walinyimwa eeh? Nchi gani??Tatizo la fikra za level ya Nyumbu ni kuamini anayebwatabwata na kutoa matamko mengi ndio mwenye akili.
Hadi sasa sijasikia msomi aliyemchallange kisomi profesa Mruma...naona watu wanahamia topic za mrabaha na kuacha kuijadili kwa hoja ripoti ya tume.
Huyu lissu anasahau hao acacia waliwahi kunyimwa hati za uadilifu kama kampuni ya madini??