kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,638
- 5,143
Haya uliyoandika hapa yanaonesha we we siyo mstaarabu Bali mvuta bhangi Fulani tu hiviTundu anapenda tu kupakatwa na wazungu. Anadai maisha yake yako hatarini, mbona alikuwa anatemebea kwa miguu feri, Kariakoo na kwingineko bila kubughudhiwa, alikuwa na hatari gani?