1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 4,995
- 2,000
Unakumbuka baada ya alitekua mjumbe wa Tume ya Katiba Mpya Dr. Sengondo Mvungi kuua kinyama na watu walioitwa majambazi zoezi zima lilivurugika na wajumbe wote waliokua wamebaki hai walijawa na hofu mpaka Leo ndio wamejisalimisha na kuungana na wapinga katiba mpya.
Wajumbe waliokua wametumia mbilioni ya fedha za watanzania leo wanasema kwa wazi kabisa kuwa hawako tayari kuona katiba mpya inapatikana Tanzania mana itakwamisha maendeleo.
Jiulize kitu gani kimewatia hofu wajumbe waliobaki hai? Je, huoni kuwa mauaji ya kinyama ya Dr. Sengondo ndiyo yaliyowatia hofu ? Huoni kuwa waliofanya njama za kijambazi kumuua Dr.Sengondo bado wapo na ndio waliojenga mazingira ya kuwatia hofu akina Kabudi ,Polepole, na Wengineo ?
Ni MTU mwenye Roho ya kimungu Pekee asiyeogopa kifo lakini wengine wote wanaogopa kifo!!
Shetani kwa muda Mrefu ameutawala ulimwengu kwa sababu alikua ameshikilia funguo za Mauti . Mauti ndiyo tishio kwa watu.
Wakristo na waislam wanaamnini katika ufufuo siku ya kiyama. Imani hiyo ndiyo raraja kuu ya kuondoa hofu ya kifo mana wanaoua hawana mamlaka ya kuwapeleka marehemu popote baada ya kifo.
Yaani akisha muua binadam mwenzake kazi inakua imeishia hapo hana la kufanya tena kwenye nafsi ya marehemu.
Mpaka sasa jambo baya kabisa kumtendea binadamu ni kuua mana kila mmoja anatamani kuishi !!
Wanaoshabikia kuuawa kwa wengine bila hatia ni wale wanaofanya kazi za kumwakilisha shetani duniani japo kila siku tunasafiri kuelekea siku ya kufa. Kila mnapofurahiya siku kuongezeka lakini mfurahiye pia siku kupungua kwenye zile siku zilizopangwa na Mungu.
Wajumbe waliokua wametumia mbilioni ya fedha za watanzania leo wanasema kwa wazi kabisa kuwa hawako tayari kuona katiba mpya inapatikana Tanzania mana itakwamisha maendeleo.
Jiulize kitu gani kimewatia hofu wajumbe waliobaki hai? Je, huoni kuwa mauaji ya kinyama ya Dr. Sengondo ndiyo yaliyowatia hofu ? Huoni kuwa waliofanya njama za kijambazi kumuua Dr.Sengondo bado wapo na ndio waliojenga mazingira ya kuwatia hofu akina Kabudi ,Polepole, na Wengineo ?
Ni MTU mwenye Roho ya kimungu Pekee asiyeogopa kifo lakini wengine wote wanaogopa kifo!!
Shetani kwa muda Mrefu ameutawala ulimwengu kwa sababu alikua ameshikilia funguo za Mauti . Mauti ndiyo tishio kwa watu.
Wakristo na waislam wanaamnini katika ufufuo siku ya kiyama. Imani hiyo ndiyo raraja kuu ya kuondoa hofu ya kifo mana wanaoua hawana mamlaka ya kuwapeleka marehemu popote baada ya kifo.
Yaani akisha muua binadam mwenzake kazi inakua imeishia hapo hana la kufanya tena kwenye nafsi ya marehemu.
Mpaka sasa jambo baya kabisa kumtendea binadamu ni kuua mana kila mmoja anatamani kuishi !!
Wanaoshabikia kuuawa kwa wengine bila hatia ni wale wanaofanya kazi za kumwakilisha shetani duniani japo kila siku tunasafiri kuelekea siku ya kufa. Kila mnapofurahiya siku kuongezeka lakini mfurahiye pia siku kupungua kwenye zile siku zilizopangwa na Mungu.