Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Igweeeeee
Itakumbukwa mwishoni mwa 2021 ndugu Lissu aliyeko huko Belgium na Lema aliyeko huko Canada waliutangazia umma wa watanzania na wafuasi wa CHADEMA kuwa watarudi nchini mwezi March au April kwa kigezo cha kufanya maandalizi
Leo ni May 1st, wananchi na wanachadema tunataka kujua ni nini kimewakuta hawa viongozi wetu mpaka sasa wameshindwa kurejea nchini ili waje kuunganisha nguvu kuipambania katiba mpya na Tanzania kwa ujumla?
NB
ukitukana nakutukana pia
Itakumbukwa mwishoni mwa 2021 ndugu Lissu aliyeko huko Belgium na Lema aliyeko huko Canada waliutangazia umma wa watanzania na wafuasi wa CHADEMA kuwa watarudi nchini mwezi March au April kwa kigezo cha kufanya maandalizi
Leo ni May 1st, wananchi na wanachadema tunataka kujua ni nini kimewakuta hawa viongozi wetu mpaka sasa wameshindwa kurejea nchini ili waje kuunganisha nguvu kuipambania katiba mpya na Tanzania kwa ujumla?
NB
ukitukana nakutukana pia