Lissu maisha yake yapo hatarini

Lissu maisha yake yapo hatarini

Naona matatizo yanaweza kumtokea Lissu.
Lissu anaweza kufanya nini kujiokoa?
Hawezi kufanya kitu chochote,kwa sababu yuko gerezani.
Lakini fikiria Ile verse katika Biblia,"The outcry against Sodom is very great. I am going there to find out what the heck is going on."
Chadema is in chaos.
Hao watu wanaweza vipi kuongoza nchi kama wao wenyewe hawana umoja?
Watu wanataka kujiondoa Chama,wambembeleze wasitoke.
Waambie umoja wetu ndio umetufikisha hapa. Vipi mnasema mnataka kujiondoa Chama?
But no,hawa wameahidiwa hela na nani sijui,kama mtu anataka kujiondoa Chama ndio vizuri,hela zote tutakula peke yetu.
Kumbembelezana, that is the key word. Umoja haupatikani kwa njja nyingine yoyote.
Unataka kujiondoa Chama kwa sababu gani. Let us discuss it.
Lakini kama unashinda Uchaguzi kwa kura chache halafu unavuruga umoja katika Chama haifai.
Kwa hiyo nasema jambo baya litamfika Lissu sasa hivi.
Now, don't tell me I want to cause the evil.
I am just predicting.
Dalili za mvua ni mawingu.
Yesu alisema "Tazama mawingu mazito,ujue mvua itanyesha,na usianze kuleta unafiki"

And thus the Blessed Buddha spoke and everyone applauded.
Biashara imekua ngumu sana kwa wajasiriamali wa kisiasa soon wanatupwa mana sisiemu itaona hawana msaada tena ndio watajua hawajui hii CDM ya sasa sio chama cha one man show kimeshashuka kwa wananchi falsafa yake imeshawakaa wananchi nakuamini ndio mkombozi wa kweli hivyo sio kifo wala mateso ndio watu wanazidi kukomazwa
 
Naona matatizo yanaweza kumtokea Lissu.
Lissu anaweza kufanya nini kujiokoa?
Hawezi kufanya kitu chochote,kwa sababu yuko gerezani.
Lakini fikiria Ile verse katika Biblia,"The outcry against Sodom is very great. I am going there to find out what the heck is going on."
Chadema is in chaos.
Hao watu wanaweza vipi kuongoza nchi kama wao wenyewe hawana umoja?
Watu wanataka kujiondoa Chama,wambembeleze wasitoke.
Waambie umoja wetu ndio umetufikisha hapa. Vipi mnasema mnataka kujiondoa Chama?
But no,hawa wameahidiwa hela na nani sijui,kama mtu anataka kujiondoa Chama ndio vizuri,hela zote tutakula peke yetu.
Kumbembelezana, that is the key word. Umoja haupatikani kwa njja nyingine yoyote.
Unataka kujiondoa Chama kwa sababu gani. Let us discuss it.
Lakini kama unashinda Uchaguzi kwa kura chache halafu unavuruga umoja katika Chama haifai.
Kwa hiyo nasema jambo baya litamfika Lissu sasa hivi.
Now, don't tell me I want to cause the evil.
I am just predicting.
Dalili za mvua ni mawingu.
Yesu alisema "Tazama mawingu mazito,ujue mvua itanyesha,na usianze kuleta unafiki"

And thus the Blessed Buddha spoke and everyone applauded.
Chadema kilikuwa chama Cha upande moja na Cha watu binafsi, lissu amefanikiwa kukiomboa na kuwa chama Cha kitaifa rasmi.Kinachoendelea kaskazini kilitarajiwa....lissuuu atakuwa juu wakati wote...
 
Naona matatizo yanaweza kumtokea Lissu.
Lissu anaweza kufanya nini kujiokoa?
Hawezi kufanya kitu chochote,kwa sababu yuko gerezani.
Lakini fikiria Ile verse katika Biblia,"The outcry against Sodom is very great. I am going there to find out what the heck is going on."
Chadema is in chaos.
Hao watu wanaweza vipi kuongoza nchi kama wao wenyewe hawana umoja?
Watu wanataka kujiondoa Chama,wambembeleze wasitoke.
Waambie umoja wetu ndio umetufikisha hapa. Vipi mnasema mnataka kujiondoa Chama?
But no,hawa wameahidiwa hela na nani sijui,kama mtu anataka kujiondoa Chama ndio vizuri,hela zote tutakula peke yetu.
Kumbembelezana, that is the key word. Umoja haupatikani kwa njja nyingine yoyote.
Unataka kujiondoa Chama kwa sababu gani. Let us discuss it.
Lakini kama unashinda Uchaguzi kwa kura chache halafu unavuruga umoja katika Chama haifai.
Kwa hiyo nasema jambo baya litamfika Lissu sasa hivi.
Now, don't tell me I want to cause the evil.
I am just predicting.
Dalili za mvua ni mawingu.
Yesu alisema "Tazama mawingu mazito,ujue mvua itanyesha,na usianze kuleta unafiki"

And thus the Blessed Buddha spoke and everyone applauded.
Hayo maneno YESU alisema wapi?
 
Naona matatizo yanaweza kumtokea Lissu.
Lissu anaweza kufanya nini kujiokoa?
Hawezi kufanya kitu chochote,kwa sababu yuko gerezani.
Lakini fikiria Ile verse katika Biblia,"The outcry against Sodom is very great. I am going there to find out what the heck is going on."
Chadema is in chaos.
Hao watu wanaweza vipi kuongoza nchi kama wao wenyewe hawana umoja?
Watu wanataka kujiondoa Chama,wambembeleze wasitoke.
Waambie umoja wetu ndio umetufikisha hapa. Vipi mnasema mnataka kujiondoa Chama?
But no,hawa wameahidiwa hela na nani sijui,kama mtu anataka kujiondoa Chama ndio vizuri,hela zote tutakula peke yetu.
Kumbembelezana, that is the key word. Umoja haupatikani kwa njja nyingine yoyote.
Unataka kujiondoa Chama kwa sababu gani. Let us discuss it.
Lakini kama unashinda Uchaguzi kwa kura chache halafu unavuruga umoja katika Chama haifai.
Kwa hiyo nasema jambo baya litamfika Lissu sasa hivi.
Now, don't tell me I want to cause the evil.
I am just predicting.
Dalili za mvua ni mawingu.
Yesu alisema "Tazama mawingu mazito,ujue mvua itanyesha,na usianze kuleta unafiki"

And thus the Blessed Buddha spoke and everyone applauded.
Lissu alishagoma kufa Mkuu. Sisi ndio tusubiri RIP zetu,mwenzetu ana Neema ya kipekee Sana!
 
Naona matatizo yanaweza kumtokea Lissu.
Lissu anaweza kufanya nini kujiokoa?
Hawezi kufanya kitu chochote,kwa sababu yuko gerezani.
Lakini fikiria Ile verse katika Biblia,"The outcry against Sodom is very great. I am going there to find out what the heck is going on."
Chadema is in chaos.
Hao watu wanaweza vipi kuongoza nchi kama wao wenyewe hawana umoja?
Watu wanataka kujiondoa Chama,wambembeleze wasitoke.
Waambie umoja wetu ndio umetufikisha hapa. Vipi mnasema mnataka kujiondoa Chama?
But no,hawa wameahidiwa hela na nani sijui,kama mtu anataka kujiondoa Chama ndio vizuri,hela zote tutakula peke yetu.
Kumbembelezana, that is the key word. Umoja haupatikani kwa njja nyingine yoyote.
Unataka kujiondoa Chama kwa sababu gani. Let us discuss it.
Lakini kama unashinda Uchaguzi kwa kura chache halafu unavuruga umoja katika Chama haifai.
Kwa hiyo nasema jambo baya litamfika Lissu sasa hivi.
Now, don't tell me I want to cause the evil.
I am just predicting.
Dalili za mvua ni mawingu.
Yesu alisema "Tazama mawingu mazito,ujue mvua itanyesha,na usianze kuleta unafiki"

And thus the Blessed Buddha spoke and everyone applauded.
Ni mimitu sijakuelewa ama matokeo ya kuwaumepanda juu ya meza?
 
Naona matatizo yanaweza kumtokea Lissu.
Lissu anaweza kufanya nini kujiokoa?
Hawezi kufanya kitu chochote,kwa sababu yuko gerezani.
Lakini fikiria Ile verse katika Biblia,"The outcry against Sodom is very great. I am going there to find out what the heck is going on."
Chadema is in chaos.
Hao watu wanaweza vipi kuongoza nchi kama wao wenyewe hawana umoja?
Watu wanataka kujiondoa Chama,wambembeleze wasitoke.
Waambie umoja wetu ndio umetufikisha hapa. Vipi mnasema mnataka kujiondoa Chama?
But no,hawa wameahidiwa hela na nani sijui,kama mtu anataka kujiondoa Chama ndio vizuri,hela zote tutakula peke yetu.
Kumbembelezana, that is the key word. Umoja haupatikani kwa njja nyingine yoyote.
Unataka kujiondoa Chama kwa sababu gani. Let us discuss it.
Lakini kama unashinda Uchaguzi kwa kura chache halafu unavuruga umoja katika Chama haifai.
Kwa hiyo nasema jambo baya litamfika Lissu sasa hivi.
Now, don't tell me I want to cause the evil.
I am just predicting.
Dalili za mvua ni mawingu.
Yesu alisema "Tazama mawingu mazito,ujue mvua itanyesha,na usianze kuleta unafiki"

And thus the Blessed Buddha spoke and everyone applauded.
Hizo nukuu zinapatikana wapi kwenye biblia nasi tujisomee mkuu
 
Mbona mna propaganda dumafu sana Bwashee?

Salim Mwalimu ni Mchaga, Kigaila ni Mchaga, Ruge ni Mchaga? Na kina wengine Mwanza na Singida kule, hao ni Wachaga?
Ukioa uchagani wewe ni mchagga 😂
 
Ni Mungu tu ndiye anayemlinda Lissu ndiomaana tunamuona mpaka Leo, kama siyo Mungu Lissu tungekuwa tumemsahau tangu kipindi cha Magufuli, kama risasi 16 za Magufuli zilishindwa kumumaliza Lissu, hawa wengine ni kama chawa weusi wa kichwani ambao pamoja na kung'ata kote hawasababishi kifo kwa binadamu.
 
Lissu anaonewa na serikali, lakini pia naye ajitafakari maana kuna watu ndani ya CDM anawaonea hadi wanafikia hatua ya kutaka kujitoa na wengine wameshajitao tayari
🙄😳Amewaonea kina nani ndani ya chama , na kivipi?
 
Maisha ya Lissu ni ushahidi tosha kuwa Mungu yupo.
spiritualleague_11936224.jpg
 
Lisu ana ulinzi wa Mungu na inawezekana alipona katika shambulio la risasi kwakua Mungu ana mpango naye.

Ni nguvu ya ki Mungu pekee kwa binadamu kupona katika shambulio baya kama lile.

Tanzania Mungu anatupenda na upo uwezekano Lisu ndie aliye chaguliwa katika kuitengeneza Nchi kupitia yeye.

Anaweza asishinde au akashinda uchaguzi lakini kikubwa Kuna vitu vitabadilika kupitia yeye.

Haijalishi ata pitia magumu kiasigani kama Mungu ndie anaye muongoza ili kuinyoosha Tanzania basi atafanikiwa kwakua ni msukumo wa ki Mungu na unaweza Kuta ata yeye Lisu hafaamu uo msukumo unatokea wapi lakini anajikuta anataka kufanya kitu.

Sipendi kauli za Lisu katika kuwasilisha hoja zake akitumia maneno ya dharau na ku Uzi ila ndivyo alivyo.
Ata sauli alichaguliwa na kristo japo alikua aki ua wafuasi wa Yesu.
Si maanishi uhalifu wa Sauli/Paulo wa katika biblia una fanana na lisu ila na maanisha kama Mungu ame mchagua Lisu kui nyoosha Nchi hakuna namna ya ku mzuia yupo Chini ya uangalizi maalumu wa Mungu.
 
Hukumu yake ya kunyongwa itekelezwe hadharani
 
🙄😳Amewaonea kina nani ndani ya chama , na kivipi?
Hawa wanaoondoka ni watu wenye akili timamu, kucukulia poa kuondoka kwao ni sawa na kujisaidia njiani mwili wote upo hadharani kwa kuwa tu umeuficha uso
 
Hizi bi bange live. Mistari uliyo nukuu haipo kabisa, sijui huyo Yesu alikwambia wapi hayo maneno! Mwalimu sijui alikosea wapi masikini.
 
Biashara imekua ngumu sana kwa wajasiriamali wa kisiasa soon wanatupwa mana sisiemu itaona hawana msaada tena ndio watajua hawajui hii CDM ya sasa sio chama cha one man show kimeshashuka kwa wananchi falsafa yake imeshawakaa wananchi nakuamini ndio mkombozi wa kweli hivyo sio kifo wala mateso ndio watu wanazidi kukomazwa
Mapunziko ya CDM mpaka 2030, itasaidia kujijenga zaidi
 
Back
Top Bottom