MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Naona Mwanaume Beberu kaenda kunaniliu ??@!!
Naona Mwanaume Beberu kaenda kunaniliu ??@!!
Miaka 20 alikuwa upande wa hao anaowaita leo weziNaona Lumumba badala ya kuchangia Mada wanamshambulia Lissu..
Lissu amekemea na Kutetea wazi kwa miaka 20
Magu miaka 3
Nani Mnafki hapo??
Anaandika #Tundu_Lissu
21.02.2019
'Nateseka' na hili suala kwa sababu 'nimeteseka' nalo toka mwaka 1999, wakati Magufuli 'akiunga mkono' juhudi za Rais Mkapa za kuuza utajiri wetu kwa wageni. Huu ni mwaka wangu wa 20 'nateseka' nalo na nitaendelea kuteseka nalo as long as nina pumzi.
Mnadanganywa na tunadanganywa na Magufuli na watu wake. Alipokuja President John Thornton mwaka jana, tuliambiwa Barrick watalipa 'kishika uchumba' (á la Prof. Kabudi) cha dola 300m.
Hawakulipa. Kwa nini??? Kwa sababu Acacia Mining walikataa. Badala yake walitufungulia kesi ya kuvunja mikataba yao ICSID, wanakotudai mabilioni ya dola.
Sasa amekuja President Willem Jacobs. Naye amesema Barrick watalipa 'kifuta machozi' cha dola 300m, lakini mpaka kwanza 'independent board of directors' ya Acacia Mining wakubali. Hao hao waliokataa kulipa mwaka jana wanatakiwa wakubali kulipa sasa.
Halafu kwenye press release yao iliyotolewa jana hiyo hiyo, Barrick wanasema ahadi zao hizo kwa Magufuli ni 'forward looking statements' ambazo, kwa kifupi, sio makubaliano yoyote yenye nguvu za kisheria. Hawafungwi na chochote walichokisema kwenye makubaliano yao na Serikali ya Tanzania.
Ndio maana nimesema someni hiyo disclaimer vizuri. Wazungu hawa sio wajinga. Wanasema hizo 'forward looking statements' zao zinaweza kuathiriwa na kesi au mashauri yanayoendelea mahakamani. Maana yake ni nini??? Wakitushinda kwenye kesi waliyotufungulia ICSID hawatatulipa.
Wanasema hizo 'forward looking statements' zao zinaweza kuathiriwa na faida au hasara katika uwekezaji wao. Maana yake ni nini??? Wakipata hasara hawatatulipa.
Sheria ya sasa ya Madini inasema mkataba wowote unaohusu madini unatakiwa kuwasilishwa Bungeni. Kama hawatulishi matango pori watayawasilisha makubaliano haya bungeni. Wasipoyawasilisha ujue ni matango pori.
Zamani alikuwa anapigania nini?Tuachane na vita za zamani' sasa hivi Raisi anapigania nini na Lissu anapigania nini?
Hiyo dawa Lignocaine, inatokana na cocaine au vipi?wakati anayasema hayo dawa ya lignocaine (ganzi) ilikuwa imeisha mwilini, au bado hajajitambua
Ni mtanzania, mzalendo namba 2, ukiacha Baba wa taifa, Huyu ndiye mtetezi wa rasilimali zetu. Magufuli mnafiki saana, hana uzalendo wowote. Mwizi na fisadi mkubwa tu aliyejificha kwenye kivuli cha uzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtanzania ambaye si mnafiki na principled sole to crown. Atawapa tabu, wanafiki wakubwa.hivi lissu ni mtanzania au mbelgiji?
wakati anayasema hayo dawa ya lignocaine (ganzi) ilikuwa imeisha mwilini, au bado hajajitambua
Sidhani hata huwa anamfikilia.Kuna watu wanajua wanadanganywa ila hawana la kufanya zaidi ya kumsadia kudanganya
Jiwe yupo point of no return maana akirudi kuyafanyia kazi maneno ya Lissu basi itakua kakubali Lissu hakua mpotoshaji bali yeye
Yale ya kushatakiwa miga vipiAnaongea ya maana nyie mnajibu utumbo. Anachoongea kikitokea mnamtafuta wapi alipo mmgonge kwa shaba... Yeye kaeleza vizuri, kama nawe una hoja, basi changia hapa vingivyo kaa kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawautakuja kuikumbuka hii post
Umepeleka umbea wa uzi wa kuomba magufuli sijui amsamehe mbowe cjui afanye nini na nini... now upo kupambia huku tena.... wewe ni kaburi...ushabiki ni mbya sana... ichaji akili yako kwanzawakati anayasema hayo dawa ya lignocaine (ganzi) ilikuwa imeisha mwilini, au bado hajajitambua
Lissu anasema wazungu sio wajinga alafu na yeye ndo yupo uko uko anawalilia shida zake pumbavu zake.
Nayo inakuuma? Sasa unabishana na mgonjwa ili iweje? Huoni unashida kichwaninakwambia Lissu ni mgonjwa na akiongea utando mweupe waanzaa kutoka mashavuni kupitia mdomo huku akiomba msaada wa kusomesha wanaye
umejibu kama umeazima ubongo kwa jirani. hivyo ndivyo ulivyofundishwa kujibu maswali kwa kuyageuza kwanza na kutengeneza swali lako?
nakwambia Lissu ni mgonjwa na akiongea utando mweupe waanzaa kutoka mashavuni kupitia mdomo huku akiomba msaada wa kusomesha wanaye
Nani?
Yaani,tuna safari ndefu mkuu.Anaongea ya maana nyie mnajibu utumbo. Anachoongea kikitokea mnamtafuta wapi alipo mmgonge kwa shaba... Yeye kaeleza vizuri, kama nawe una hoja, basi changia hapa vingivyo kaa kimya
Sent using Jamii Forums mobile app