Angefanya kimya kimya bila kutoa taarifa hadi siku akizipata ndo atangaze.Urais ni "uwajibikaji kwa waajiri,Lissu ni miongoni mwao".Ana haki na tuna haki ya kuhoji,kujua na kutoa maoni.Salaam,
Nakutakia afya njema na nakuombe upone katika operesheni yako ya 23.
Masuala ya JPM Barrick, Accacia mwachie Mwenyewe, aliyeyaanzisha ndiye atakayeyamaliza, kama wewe unaendelea na ya kwako endelea!! Hujalazimishwa kulalamikia mambo yanayofanywa na mtu mwingine.
Yeye anafanya katika kile ambacho anaona sawa, kwa maana nyingine siyo lazima atumie ushauri wako katika kushughulikia mambo hayo. Umekuwa na tabia ya kuingilia namna Rais anavyofanya kazi zake sio sawa, mwache ashindwe au aweze mwenyewe, kama yeye amehakikishiwa watalipa basi subiri uone nini kitatokea, acha maneno maneno yako.