GEE2PATEL
Senior Member
- Oct 24, 2018
- 139
- 293
nakwambia kuna bullet inabaki ujueKama yule wa jumba jeupe ni mgonjwa tena wa kichaa kwa kujitangaza mwenyewe hujui kama ana kazi ya kukimbiza tausi mpk anafungiwa ndani
nakwambia kuna bullet inabaki ujueKama yule wa jumba jeupe ni mgonjwa tena wa kichaa kwa kujitangaza mwenyewe hujui kama ana kazi ya kukimbiza tausi mpk anafungiwa ndani
hawezi kuwa na kumbu kumbu kiwete
Hongera Lisu kama sasa umeanza kujua kuwa wazungu sio watu wazuri kwetuAnaandika #Tundu_Lissu
21.02.2019
'Nateseka' na hili suala kwa sababu 'nimeteseka' nalo toka mwaka 1999, wakati Magufuli 'akiunga mkono' juhudi za Rais Mkapa za kuuza utajiri wetu kwa wageni. Huu ni mwaka wangu wa 20 'nateseka' nalo na nitaendelea kuteseka nalo as long as nina pumzi.
Mnadanganywa na tunadanganywa na Magufuli na watu wake. Alipokuja President John Thornton mwaka jana, tuliambiwa Barrick watalipa 'kishika uchumba' (á la Prof. Kabudi) cha dola 300m.
Hawakulipa. Kwa nini??? Kwa sababu Acacia Mining walikataa. Badala yake walitufungulia kesi ya kuvunja mikataba yao ICSID, wanakotudai mabilioni ya dola.
Sasa amekuja President Willem Jacobs. Naye amesema Barrick watalipa 'kifuta machozi' cha dola 300m, lakini mpaka kwanza 'independent board of directors' ya Acacia Mining wakubali. Hao hao waliokataa kulipa mwaka jana wanatakiwa wakubali kulipa sasa.
Halafu kwenye press release yao iliyotolewa jana hiyo hiyo, Barrick wanasema ahadi zao hizo kwa Magufuli ni 'forward looking statements' ambazo, kwa kifupi, sio makubaliano yoyote yenye nguvu za kisheria. Hawafungwi na chochote walichokisema kwenye makubaliano yao na Serikali ya Tanzania.
Ndio maana nimesema someni hiyo disclaimer vizuri. Wazungu hawa sio wajinga. Wanasema hizo 'forward looking statements' zao zinaweza kuathiriwa na kesi au mashauri yanayoendelea mahakamani. Maana yake ni nini??? Wakitushinda kwenye kesi waliyotufungulia ICSID hawatatulipa.
Wanasema hizo 'forward looking statements' zao zinaweza kuathiriwa na faida au hasara katika uwekezaji wao. Maana yake ni nini??? Wakipata hasara hawatatulipa.
Sheria ya sasa ya Madini inasema mkataba wowote unaohusu madini unatakiwa kuwasilishwa Bungeni. Kama hawatulishi matango pori watayawasilisha makubaliano haya bungeni. Wasipoyawasilisha ujue ni matango pori.
Tatizo lenu nyinyi vibonzo vya Jiwe mna akili za kwenda Choo tu. TAL kazungumza ukweli mtu, badala utoe hoja mnaleta ngojera za kitoto. Wapuuzi nyiewakati anayasema hayo dawa ya lignocaine (ganzi) ilikuwa imeisha mwilini, au bado hajajitambua
Ujielewi, sijawah kuona umechangia cha maana zaidi ya huu utumbo Kila siku. Unachoandika hakieleweki, hivi nyie watetezi wa yule kichaa mlisona shule ganiJamani namuonea huruma
Anavyo angaika
Kazi kweli kweli ukiwa unapewa pesa na lazima kazi ifanyike
Kiwete sio? Aliyemsabishia kuwa Kiwete ni Nani? Nyinyi matoto ya shetani mkuu, Jiwe, mwenye roho ya mbaya, wakati unakuja, mtalia na kusaga meno.hawezi kuwa na kumbu kumbu kiwete
hizo ni habari zenu za vijiweni tu hakuna cha meno wala niniKiwete sio? Aliyemsabishia kuwa Kiwete ni Nani? Nyinyi matoto ya shetani mkuu, Jiwe, mwenye roho ya mbaya, wakati unakuja, mtalia na kusaga meno.
Sent using Jamii Forums mobile app
swali zuri sana ukipata jibu IKO ITA MIMI VEVETuachane na vita za zamani' sasa hivi Raisi anapigania nini na Lissu anapigania nini?
hivi lissu ni mtanzania au mbelgiji?
Rais hajui hata anachokipigania. Lisu anajua anachokipigania.Tuachane na vita za zamani' sasa hivi Raisi anapigania nini na Lissu anapigania nini?