Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,403
- 6,366
Kuliko Mabeberu wa Kiafrika wanaojifanya wao ni wazaleondo wa kweli wakati ni wanafikiLakini afadhali mzungu maana ni shetani mzuri kuliko hawa wakoloni weusi.
Kuliko Mabeberu wa Kiafrika wanaojifanya wao ni wazaleondo wa kweli wakati ni wanafikiLakini afadhali mzungu maana ni shetani mzuri kuliko hawa wakoloni weusi.
Ila Mwafrika anayewapiga risasi wenzake, na wengine kuwateka na kuwaua, kuwachomeka kwenye viroba na kuwatupa baharini ndiye ana 'good plan for Africans!!!!?"
Ndo nguvu ya CCM iliyo baki hiyo.!!!!Swali je,atainufaisha nini Tanzania?Akirudi nchini na kukamatwa kwa kesi ya uhaini hakuna nyumbu hata mmoja atakayesogea kumtetea hadharani zaidi ni kujificha nyuma ya keyboard kwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maumivu kwa nani?
Kama CCM.Wafuate Lumumba katibu wao mkuu atakupa majibu utakayo!
Ila, mzungu hajawahi kuwa na good plan for africa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mzungu kuliko CCM.Hilo ni kweli, atakuwa anafahamu.
Nawapenda US maana wanapenda kushughulika na watawala wanaojifanya wababeTanzania ni kubwa.
===
Mbaya sana anayejiita msomi bado ana akili tegemezi !!! Hao US ya kwao yanawashinda. Rejea habari hii
'Survival of the fittest': RT explores distressed black neighborhoods doomed to crime and decay
Mdharau mwiba mguu huota tende. Angalia shilingi inavyoporomoka, hiyo Ni moja ya impact kubwa sana, uchumi unaanguka halafu wajinga wanasema Hakuna impact!!! Kwa akili ndogo wanadhani 20 za Machinga zitaendesha nchi!Hata angeenda baraza la mawaziri la marekani na hata akiitwa white house na trump bado hana impact yeyote ile kwa sovereignity country kama tanzania
wataishia kumsikiliza na kumsindikiza airport arudi zake ubelgiji kwa matibabu zaid na story itaishia hapo kama mwenzie maalim seif.
Ila nao waliingizwa cha kike na Trump mpk wakampa uraisi!Nawapenda US maana wanapenda kushughulika na watawala wanaojifanya wababe
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM hawajawahi na hawatawahi kuwa suluhisho afadhali wazungu wanatuletea hata ARVsKabisa na haitakaa itokeee
Lakini cha ajabu Waafrika bado tunaishi kwenye ndoto za kudhani kwamba wanamsaada kwetu
Ndo maana kila shida ama changamoto zinapojitokeza kwenye nchi zetu bado wapo wanaodhani kwamba suruhisho na migogoro yetu ni kwenda kwa Wazungu
Mbaya sana hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo heshima kubwa itampatia urais? Itakusaidia nn ww zaidi sana atawaomba watunyime misaada, ndugu zako kule kijijini wapate tabu.Ikitokea ikawa hivyo, hili litakuwa ni tukio la kipekee kabisa , kama ilivyokuwa kwa tukio la mtu kuchakazwa risasi zaidi ya kumi na kuendelea kudunda.
Lakini hasa upekee utakuwa ni juu ya Tanzania kuwekewa umhimu wa namna hiyo. Nadhani hasa kichocheo kitakuwa ni jinsi watawala wanavyozidi kuchochea kuminywa kwa haki kwa wananchi wao. Na hili linategemewa kuongezeka kadri uchaguzi mkuu unavyosogelea.
Hata kama hapatasemwa chochote baada ya tukio hilo kama kweli litakuwepo, taa ya njano itakuwa imeiangaza Tanzania yetu dunia nzima.
Kama ingetokea safari hiyo ikawepo na kupewa heshima ya namna ya pekee hiyo kuwahi kutokea, jambo la kuombea lingekuwa moja tu. Wananchi wa Tanzania wasaidiwe kuwachagua viongozi wao bila ya kushawishiwa na mtu yeyote wa nje, na bila kuwepo mizengwe ya chama kimoja kujitwalia madaraka ya kuendesha uchaguzi huo.
Wakiweza kutusaidia kwa hili, watakuwa wamefanya jambo jema sana.
Hata akiweza kuongea na Kamati tu ya Cngress, na isiwe Congress nzima, ingetosha kabisa kuchukua heshima kubwa.
Hata angeenda baraza la mawaziri la marekani na hata akiitwa white house na trump bado hana impact yeyote ile kwa sovereignity country kama tanzania
wataishia kumsikiliza na kumsindikiza airport arudi zake ubelgiji kwa matibabu zaid na story itaishia hapo kama mwenzie maalim seif.
Yani ni hovyo sana, hawa hawafai kabisa kushika uongozi wa nchi yoyote ile africa. Alowaita nyumbu aliona mbali sana.Viongozi na wafuasi wa Chadema hujiadai wanajitambua na wenye uelewa sana kumbe kinyume chake
Sent using Jamii Forums mobile app
#Mpya
MH. TUNDU LISSU KUONGEA NA CONGRESS MAREKANI.
Mh. Tundu Antipas Mwigwai Lissu anatarajiwa kurudi United States of America kuongea na Bunge la Marekani mwezi wa nne mwaka huu.
Akiongea kutokea ofisi zake za Bunge Washington DC leo Ijumaa asubuhi Rep. Christopher Smith- New Jersey amesema Mh. Lissu atapata nafasi ya kulieleza Bunge la Marekani changamoto za Demokrasia Tanzania.
Zaidi, Rep. Smith ameseam Mh. Lissu atatumia muda huo kulieleza Bunge la Marekanai mkasa wote wa tukio la kupigwa risasi kumi na sita.
Mh. Lissu anatarajiwa kurudi USA wiki ya pili ya mwezi wa nne.View attachment 1035689
Lissu The Greatest#Mpya
MH. TUNDU LISSU KUONGEA NA CONGRESS MAREKANI.
Mh. Tundu Antipas Mwigwai Lissu anatarajiwa kurudi United States of America kuongea na Bunge la Marekani mwezi wa nne mwaka huu.
Akiongea kutokea ofisi zake za Bunge Washington DC leo Ijumaa asubuhi Rep. Christopher Smith- New Jersey amesema Mh. Lissu atapata nafasi ya kulieleza Bunge la Marekani changamoto za Demokrasia Tanzania.
Zaidi, Rep. Smith ameseam Mh. Lissu atatumia muda huo kulieleza Bunge la Marekanai mkasa wote wa tukio la kupigwa risasi kumi na sita.
Mh. Lissu anatarajiwa kurudi USA wiki ya pili ya mwezi wa nne.View attachment 1035689
Good for him, hilo linatikea wakati wowote, na umedanganya kuwa Lissu atakuwa mbunge wa kwanza wa Tanzania kufanya hivyo. 1978 - 79 kulikuwa na mbunge wa kitanzania alialikwa na ajazungumza hapo congress, huyo mbunge alialikwa na congressman aliyesima nae chuoni usa.
Nitajaribu kulikumbuka jina na natalileta hapa. Pia 1999 wabunge wawili wa Somaliland nchi ambayo haijatambuliwa , walipewa fursa ya ku,ungumza na congress kwa kulihutubia baraza la Congress.
Hiyo fursa hupewa kina mwana congress, anaweza mkaribisha hata shetani, bira atimize masharti na muda uwe muafaka.
Sent using Jamii Forums mobile app