M
Ww muone huyo shehe usoni ,utagundua kwamba hakuna shehe hapo kuna shehena tu,bin ubwabwa,bin futali ,bin daku,shule ni ya muhimu sana ndugu zangu.
Kwamba mtu hawez kuwa mkuu wa idara au kitengo kama huna kadi ya chama cha ccm huko halmashauri. Soma usomavyo na jua ujuavyo hiyo ndiyo ccmLakini ukweli wenyewe ndio huu uliousema hapa. CCM huku ndiko iliko tufikisha kama nchi!
Sheikh anapambania tumboNiko somewhere sheikh....... Means hoja ya msingi sijaiona kutoka kwa huyo sheikh.
Tuko pa1, safi sana ukiwa unajitambua na unafahamu kuwa unajitambua.💯👏Sheikh anapambania tumbo
Hapo utakuta sebuleni kwake ana tv ya chogo na familia inakunywa uji na vitumbua.