Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,017
- 2,014
Ila ndugu zangu katika imani bana 😂
👏👏👏Tanganyika imejaa wapuuzi wengi sana
mental case
We picha yako siku ukifa
akili zimeishia kwenye ndevu
Hapana.Kabisa. Kupitia wapuuzi kama hawa, Waislam wote tunaonekana majuha.
Lakini ukweli wenyewe ndio huu uliousema hapa. CCM huku ndiko iliko tufikisha kama nchi!Hahaha nakumbuka maisha ya halmashauri huko watu wanagalagala chini pindi mwenge ukija ili wapandishwe vyeo na kuwa wakuu wa idara au vitengo. Ujinga mtupu
Huu msikiti utafungwa lini?
Tena wapuuzi wakubwa ambao wanapewa nafasi kwenye jamii. Na jamii inawasikilizaTanganyika imejaa wapuuzi wengi sana
Mtu anaweza kutema uchafu ila wale wakaona ni madini!
Sheikh upo nchi gan?Mtu anaweza kutema uchafu ila wale wakaona ni madini!
Niko somewhere sheikh....... Means hoja ya msingi sijaiona kutoka kwa huyo sheikh.Sheikh upo nchi gan?