Slaa anasubiri kuapishwa tu.CCM kambi rasmi ya upinzani
Utakosa kumwita mzinzi wakati huwa unamkuta na mamayako?.Wewe unauhakika gani huyo uliyeambiwa ni babayako ndie yeye?.Jiandae kuhama nchi kama hautaki mana huyo ndie Rais ajaye tutamchagua sisi
Unajiundia statement halafu anauliza na kujijibu mwenyewe mwisho unalishangaa jibu lako, sisi wengine unatufanya tukushangae zaidi.Najua isipokuwa umesema Maalim Seif atagombea Zanzibar kwa hiyo nafasi ya JMT itakuwa Dr.Slaa kwa maandalizi yenu ya UKAWA kuunda tofauti baina ya nchi hizi mbili au sio? nimewaelewa.. Among things which make me go mnnnnh!
Mkuu nimesema nimekuelewa ulichokisema mwanzo na ndicho nilichoandika kuonyesha nimekuelewa jibu lako au nakosea bado?Unajiundia statement halafu anauliza na kujijibu mwenyewe mwisho unalishangaa jibu lako, sisi wengine unatufanya tukushangae zaidi.
Slaa anasubiri kuapishwa tu.CCM kambi rasmi ya upinzani
Kama wewe huoni tatizo wengine tunaona kuna tatizo nafikiri hii inatokana na malezi na makuzi tofati tuliyolelewa.
MkandaraMkuu nimesema nimekuelewa ulichokisema mwanzo na ndicho nilichoandika kuonyesha nimekuelewa jibu lako au nakosea bado?
Dr Slaa Jembe wewe... tukimpa nchi mafisadi wote watajificha shimoni... matajiri walioiweka mfukoni serikali ya ccm watajuta... lazima walipe kodi zetu kuanzia mwakani.... Dr Slaa atakomesha magumashimagushi yote yaliopo serikalini.... tumpe nchi mkombozi wa wanyonge Dr W. Slaa.
Slaa anasubiri kuapishwa tu.CCM kambi rasmi ya upinzani