Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

lisu sijui amekula maharage ya wapi huyuuu!!!!SLAAA KAMWE HAWEZI KUWA RAIS WA HII NCHI, RAIS ANA MCHUMBA AMBAYE NI MKE WA MTU.... HAHAHAHAHAHAHAHA

so what!!!!
ulitaka awe na mchumba mke wa mnyama etiee...
we GASHO kweli.. Kakune nazi
 
lisu sijui amekula maharage ya wapi huyuuu!!!!SLAAA KAMWE HAWEZI KUWA RAIS WA HII NCHI, RAIS ANA MCHUMBA AMBAYE NI MKE WA MTU.... HAHAHAHAHAHAHAHA

Dr Slaa na Josephine ni mke na mume kihalali kabisa kwa maana walishafunga ndoa!
 
Sasa Lisu angesemaje ili kujipalilia tonge lake? Sidhani kama hii nayo ni habari, kitaalam habari ingekuwa kama angesema kinyume chake.
 
wacheza karata wote wanajua nin ninaposema Jocker, kwa wasiofaham "Jocker" ina maanisha karata muhimu sana ambayo ina point nyingi na ambayo ikichezwa vilivyo ndio huwa msingi wa ushindi, na mwenye karata katika mchezo huwa ndiye aliyeshika mpini na wengine ni kama mmeshika makali.

baada ya kugundua kosa kubwa lililofanyika, akina Yeriko na wenzake wametumwa kupiga makelele ili kukupanikisha ili ucheze karata zako vibaya na kama hutakuwa mwangalifu unaweza kupoteza mchezo hali ya kuwa wewe mpaka muda huu ni mshindi kwa kuonesha umahili mkubwa katika andiko lako la jana.

Watanzania wengi tulijenga imani kubwa na mageuzi kupitia mwenendo mzuri uliouonesha wewe na wenzako ambao mara zote mlimaanisha kwa vitendo yale mliyokuwa mkiongea-pongezi hizo ziwafikie Zitto Kabwe na John Mnyika.

Vijana wapiga hela wa kasikazin baada ya kuona wewe na hao vijana mmekuwa barrier kwenye issues zao, wakaingizia chuki na kuwagombanisha bila ya kujali Utanganyika na Uzanzibar unatokana na muungano wenu na kwamba nje ya Muungano huyu atakuwa Mzanzibar na yule ni Mzanzibar-hali hiyo inadhihirika sasa ambapo pamoja na heshima yako kubwa vijana wanatumwa kukutukana wewe na familia yako kuwa ni mzinzi na Msaliti.

naomba nikutie moyo kuwa sisi wana mapinduz wa kweli tupo wengi na tupo nyuma yako na kamwe usiteteleke juu ya msimamo huo ambao ni sahih na ndicho hasa msingi wa uwepo wa CDM hapo ilipofikia na kama mapema tungejua kuwa na chama cha kifisadi ,wezi na ghiliba Watz wangebakia na CCM yao walioyozoea.

Kinachofanyika nikukupanikisha utoe Jocker lako mapema-tulia mkuu hutakiwi kuwa na haraka katika kipindi hikl, fanyeni maamuz sahihi na sisi waungwana tutawafuata-wao wana hela na sisi tuna M/mungu
 
wacheza karata wote wanajua nin ninaposema Jocker, kwa wasiofaham "Jocker" ina maanisha karata muhimu sana ambayo ina point nyingi na ambayo ikichezwa vilivyo ndio huwa msingi wa ushindi, na mwenye karata katika mchezo huwa ndiye aliyeshika mpini na wengine ni kama mmeshika makali.

baada ya kugundua kosa kubwa lililofanyika, akina Yeriko na wenzake wametumwa kupiga makelele ili kukupanikisha ili ucheze karata zako vibaya na kama hutakuwa mwangalifu unaweza kupoteza mchezo hali ya kuwa wewe mpaka muda huu ni mshindi kwa kuonesha umahili mkubwa katika andiko lako la jana.

Watanzania wengi tulijenga imani kubwa na mageuzi kupitia mwenendo mzuri uliouonesha wewe na wenzako ambao mara zote mlimaanisha kwa vitendo yale mliyokuwa mkiongea-pongezi hizo ziwafikie Zitto Kabwe na John Mnyika.

Vijana wapiga hela wa kasikazin baada ya kuona wewe na hao vijana mmekuwa barrier kwenye issues zao, wakaingizia chuki na kuwagombanisha bila ya kujali Utanganyika na Uzanzibar unatokana na muungano wenu na kwamba nje ya Muungano huyu atakuwa Mzanzibar na yule ni Mzanzibar-hali hiyo inadhihirika sasa ambapo pamoja na heshima yako kubwa vijana wanatumwa kukutukana wewe na familia yako kuwa ni mzinzi na Msaliti.

naomba nikutie moyo kuwa sisi wana mapinduz wa kweli tupo wengi na tupo nyuma yako na kamwe usiteteleke juu ya msimamo huo ambao ni sahih na ndicho hasa msingi wa uwepo wa CDM hapo ilipofikia na kama mapema tungejua kuwa na chama cha kifisadi ,wezi na ghiliba Watz wangebakia na CCM yao walioyozoea.

Kinachofanyika nikukupanikisha utoe Jocker lako mapema-tulia mkuu hutakiwi kuwa na haraka katika kipindi hikl, fanyeni maamuz sahihi na sisi waungwana tutawafuata-wao wana hela na sisi tuna M/mungu

Ubarikiwe sana mkuu kwa andiko lisilokuwa na ushabiki.
 
Tafiti zimefanyika zikaonyesha kwa hali ya kawaida ni ngumu Upinzani kushinda. Wenzake wakaliona hili. Chama cha siasa kazi yake kubwa ni kushinda chaguzi. CCM wameshasema hata km ni goli la mkono wanataka ushindi, hiyo ndo kazi ya kwanza.
Dr Slaa nampenda sana hila km macho yake hayawezi kufumbua na kuona jambo hili basi napata mashaka naye. Km CCM wako tayari kushinda kwa goli la mkono, kwa nini hataki Chadema ishinde kwa goli la offside?
Anajua kabisa kwamba akitaka kucheza mchezo Wa kufuata Sheria wakati mpinzani wake yuko tayari kushinda bila kufuata kanuni na refari haoni tatizo, kwa nini yeye anataka Kuendelea na mechi ambayo anajua hawezi kushinda?
 
Tafiti zimefanyika zikaonyesha kwa hali ya kawaida ni ngumu Upinzani kushinda. Wenzake wakaliona hili. Chama cha siasa kazi yake kubwa ni kushinda chaguzi. CCM wameshasema hata km ni goli la mkono wanataka ushindi, hiyo ndo kazi ya kwanza.
Dr Slaa nampenda sana hila km macho yake hayawezi kufumbua na kuona jambo hili basi napata mashaka naye. Km CCM wako tayari kushinda kwa goli la mkono, kwa nini hataki Chadema ishinde kwa goli la offside?
Anajua kabisa kwamba akitaka kucheza mchezo Wa kufuata Sheria wakati mpinzani wake yuko tayari kushinda bila kufuata kanuni na refari haoni tatizo, kwa nini yeye anataka Kuendelea na mechi ambayo anajua hawezi kushinda?

Iwapo CDM itashindwa na Lowassa akiwemo, huoni kama ndio itakuwa mwisho wa Chama kwsbb watu walikuja CDM kwa ajili ya misingi yake ambayo tunataka kuiacha kwa muda ili kutafuta ushindi-tukiukosa hali ya kuwa tayar Lowasaa na kundi lake la mafisadi limeshaota mizizi ndani ya CDM kitawezaje kujitofautisha na vyama vingine?

Tunataka kuiba ili tutoe sadaka ili twende peponi-inawezekana hilo? ukweli ni kwamba wenzetu wametuuza kwa kupokea fedha kwahiyo wakat tutakapokuwa tunataabika wao watakuwa mapumziko
 
Tafiti zimefanyika zikaonyesha kwa hali ya kawaida ni ngumu Upinzani kushinda. Wenzake wakaliona hili. Chama cha siasa kazi yake kubwa ni kushinda chaguzi. CCM wameshasema hata km ni goli la mkono wanataka ushindi, hiyo ndo kazi ya kwanza.
Dr Slaa nampenda sana hila km macho yake hayawezi kufumbua na kuona jambo hili basi napata mashaka naye. Km CCM wako tayari kushinda kwa goli la mkono, kwa nini hataki Chadema ishinde kwa goli la offside?
Anajua kabisa kwamba akitaka kucheza mchezo Wa kufuata Sheria wakati mpinzani wake yuko tayari kushinda bila kufuata kanuni na refari haoni tatizo, kwa nini yeye anataka Kuendelea na mechi ambayo anajua hawezi kushinda?

Hayo mawazo ya kiccm ile ya zamani.

Kuna haja gani ya kukimbilia Ikulu huku hujaweza kujijenga kama Taasisi?

Mwaka 2010 yalopokelewa makapi kutoka ccm nadhani madhara yake uliyaona.

Slaa amaeipeleka Chadema mpaka level ya kitongoji...ina maana kwa uchaguzi wa mwaka huu ilikuwa ni zaidi ya asilimi 50 za ubunge na udiwani zingeenda Chadema.


Chadema imetumia nguvu kujijenga lakini ilichoipa chadema nguvu na ustawi na uhimili dhidi ya ccm ni ajenda ya vita dhidi ya ufisadi na wala sio jingine.

Juzi juzi hapa pameibuka suala la UKAWA ni turufu hatari kuicheza lakini ilibidi ichezwe na ikubalike kwa tahadhari zote.

Kusimama kama UKawa hakujaathiri mfumo au roho ya chama kwani chama kimeendelea kupambana na ufisadi na kujijenga.

Lowassa angepitishwa na ccm Chadema ingesimamia ajenda moja tu ...yaani ufisadi.

Lowassa angehamia chama kingine hata kama no ndani ya Ukawa bado Chadema ingeshinda kwa kipitia ajenda ya ufisadi.


lowassa asingeingia chadema basi chadema ingeweza kumnyoosha magufuli kwa ajenda ya ufisadi...nyumba za serikali.


Kwa sasa Chadema haina moral authority ya kusema ccm ni mafisadi kwa kuwa anayetuhumiwa kwa ufisadi ni mmoja wao.


Dr Slaa afanye nini?

Hili ni suala linalohitaji tafakari katika kipindi kifupi kijacho.
 
wacheza karata wote wanajua nin ninaposema Jocker, kwa wasiofaham "Jocker" ina maanisha karata muhimu sana ambayo ina point nyingi na ambayo ikichezwa vilivyo ndio huwa msingi wa ushindi, na mwenye karata katika mchezo huwa ndiye aliyeshika mpini na wengine ni kama mmeshika makali.

baada ya kugundua kosa kubwa lililofanyika, akina Yeriko na wenzake wametumwa kupiga makelele ili kukupanikisha ili ucheze karata zako vibaya na kama hutakuwa mwangalifu unaweza kupoteza mchezo hali ya kuwa wewe mpaka muda huu ni mshindi kwa kuonesha umahili mkubwa katika andiko lako la jana.

Watanzania wengi tulijenga imani kubwa na mageuzi kupitia mwenendo mzuri uliouonesha wewe na wenzako ambao mara zote mlimaanisha kwa vitendo yale mliyokuwa mkiongea-pongezi hizo ziwafikie Zitto Kabwe na John Mnyika.

Vijana wapiga hela wa kasikazin baada ya kuona wewe na hao vijana mmekuwa barrier kwenye issues zao, wakaingizia chuki na kuwagombanisha bila ya kujali Utanganyika na Uzanzibar unatokana na muungano wenu na kwamba nje ya Muungano huyu atakuwa Mzanzibar na yule ni Mzanzibar-hali hiyo inadhihirika sasa ambapo pamoja na heshima yako kubwa vijana wanatumwa kukutukana wewe na familia yako kuwa ni mzinzi na Msaliti.

naomba nikutie moyo kuwa sisi wana mapinduz wa kweli tupo wengi na tupo nyuma yako na kamwe usiteteleke juu ya msimamo huo ambao ni sahih na ndicho hasa msingi wa uwepo wa CDM hapo ilipofikia na kama mapema tungejua kuwa na chama cha kifisadi ,wezi na ghiliba Watz wangebakia na CCM yao walioyozoea.

Kinachofanyika nikukupanikisha utoe Jocker lako mapema-tulia mkuu hutakiwi kuwa na haraka katika kipindi hikl, fanyeni maamuz sahihi na sisi waungwana tutawafuata-wao wana hela na sisi tuna M/mungu

Bahat mbaya ana majoker kwenye mchezo wa makonzi ulioisha !
 
Back
Top Bottom