Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

Nilisema huyu Jamaa mropokaji na kweli anazidi kuonyesha rangi zake. Inakuwaje UKAWA hawajafikia maamuzi tayari mtu anakuja na hoja kama hii sii kutaka kuleta ugonvi ndani ya UKAWA.. Ndio maana nikasema UKAWA are not for real ni wasanii tu kama wasanii wengine wa siasa.....

hahhaahhaha....whatever...its wewe who said unapambana na UKAWA muda wote...na ni maadui zako

Iweje ikuume wewe ugomvi kuwepo ndani ya UKAWA

UKAWA is real....Sijui kama Act yenu ni real

Hapa kamanda anaeneza chama kwa wapiga box....kwetu sisi hata watu hoples ni wapiga kura wazuri

mkandara.jpg
 
Kwa maana hiyo - Dr.Slaa kuhamia CUF au Maalim Seif ajiunge Chadema? yaani hili ndio litakuwa anguko la mwaka. maalim Seif hawezi kujiunga Chadema hata siku moja, na Dr.Slaa hawezi kubaliwa CUF ni reality msotaka kuisema...

maalim seif atagombea urais wa zanzibar.

nakuhakikishia Dr slaa atagombea urais wa muungano

Kwani hapo lazima wawe chama kimoja?
 
hahhaahhaha....whatever...its wewe who said unapambana na UKAWA muda wote...na ni maadui zako

Iweje ikuume wewe ugomvi kuwepo ndani ya UKAWA

UKAWA is real....Sijui kama Act yenu ni real

Hapa kamanda anaeneza chama kwa wapiga box....kwetu sisi hata watu hoples ni wapiga kura wazuri
Mkuu naona sasa umeingilia private za watu. kusema kweli siutegemea mtu kama wewe ungeweza fikia hapa.
 
Mkuu naona sasa umeingilia private za watu. kusema kweli siutegemea mtu kama wewe ungeweza fikia hapa.

kivipi mkuu...hebu kuwa wazi?

Kwa kukwambia

"Iweje ikuume wewe ugomvi kuwepo ndani ya UKAWA

UKAWA is real....Sijui kama Act yenu ni real"
 
maalim seif atagombea urais wa zanzibar.

nakuhakikishia Dr slaa atagombea urais wa muungano

Kwani hapo lazima wawe chama kimoja?
Okay, kwani pasipo UKAWA maalim Seif alikuwa hagombei Zanzibar?
 
kivipi mkuu...hebu kuwa wazi?

Kwa kukwambia

"Iweje ikuume wewe ugomvi kuwepo ndani ya UKAWA

UKAWA is real....Sijui kama Act yenu ni real"
Alaah wajifanya hujui... safi sana mkuu Ndio Uchadema sio!
 
Nilisema huyu Jamaa mropokaji na kweli anazidi kuonyesha rangi zake. Inakuwaje UKAWA hawajafikia maamuzi tayari mtu anakuja na hoja kama hii sii kutaka kuleta ugonvi ndani ya UKAWA.. Ndio maana nikasema UKAWA are not for real ni wasanii tu kama wasanii wengine wa siasa.....
Endelea kudhani UKAWA ni wasanii, CUF Zanzibar wameshatangaza mgombea wao umesikia Ukawa umevunjika? hata huku bara kila chama kina haki ya kumuuza mgombea wake ili aweze kupita kwenye mchujo wa Ukawa hata MOU ya Ukawa inatambua hilo.
 
Endelea kudhani UKAWA ni wasanii, CUF Zanzibar wameshatangaza mgombea wao umesikia Ukawa umevunjika hata huku bara kila chama kina haki ya kumuuza mgombea wake ili aweze kupita kwenye mchujo wa Ukawa hata MOU ya Ukawa inatambua hilo.
OK, nimekueleweni, Kwa hiyo rais wa JMT ni rais wa Tanganyika sio?
 
Ilivyoshindikana mwaka 2010 kuingia ikulu basi asitgemee tena kuingia!
 
Waache wahangaike , wanafikri urais ni sawa na kumkumbatia MSHUMBUSI.

uraisi ni sawa na nini??
  • kupanda ndege kila siku kwenda nje ya nchi?
  • kwenda kutibiwa tezi dume nje ya nchi wakati nchi yako inawataalam?
  • kupiga picha na 50 Cent?
  • kupewa zawadi ya suti?
  • kutokujua nchi yako ni maskini kwa sababu gani? ama ni sawa na nini hasa?
 
Alitaja kuwa ni Rais ajaye kwa mwaka 2015?
 
CCM wanaofisi wapi? Viwanja, majengo vyote vilipatika Enzi za Chama kimoja na vilipaswa kurejeshwa serikalini .... Soon utekelezaji huo utafanyika ....
Nyie endeleeni kuwaabudu SLAA na MBOWE huku wakikifilisi chama, miaka 22 bado makao makuu yako kwenye chumba cha kupanga hamuhoji nuo ufisadi.
 
Uchaguzi wa mwaka huu utatumia katiba tuliyotumia 2010, the rest applies.
Najua isipokuwa umesema Maalim Seif atagombea Zanzibar kwa hiyo nafasi ya JMT itakuwa Dr.Slaa kwa maandalizi yenu ya UKAWA kuunda tofauti baina ya nchi hizi mbili au sio? nimewaelewa.. Among things which make me go mnnnnh!
 
Nilisema huyu Jamaa mropokaji na kweli anazidi kuonyesha rangi zake. Inakuwaje UKAWA hawajafikia maamuzi tayari mtu anakuja na hoja kama hii sii kutaka kuleta ugonvi ndani ya UKAWA.. Ndio maana nikasema UKAWA are not for real ni wasanii tu kama wasanii wengine wa siasa.....

Mambo ya UKAWA yanakuhusu nini wewe gamba sugu?
 
Najua isipokuwa umesema Maalim Seif atagombea Zanzibar kwa hiyo nafasi ya JMT itakuwa Dr.Slaa kwa maandalizi yenu ya UKAWA kuunda tofauti baina ya nchi hizi mbili au sio? nimewaelewa.. Among things which make me go mnnnnh!

Punguza povu, mtajibeba na vimichepuko vyenu mwaka huu. pole sana kwa maumivu makali ya ukawa
 
Back
Top Bottom