kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,401
- 16,479
- Thread starter
- #41
Mtu mjinga huwa hajioni!Wewe ndio umepoteza huo uwezo umeanza kumsema mtu wajinga mnaongezeka kwa kasi ya ajabu
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mtu mjinga huwa hajioni!Wewe ndio umepoteza huo uwezo umeanza kumsema mtu wajinga mnaongezeka kwa kasi ya ajabu
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Kipara, naona kipara chako kimekosa busara. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama cha upinzani ambacho hakijawai kushika madaraka, lakini anapokuwa kimya unajua kinachokuwa kikitokea kwenye mitandao ya jamii. Huyo ni Lissu tu au Mbowe viongozi wa upinzani wanauliziwa uwepo wao. Sembuse makamu wa Rais?Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.
Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
Kwani ni lazima apewe? Au unatamani asipewe?Nakuhakikishia kwa huyu lissu ni mwepesi sana na sina hakika kama atapewa nafasi!
Apewe niniKwani ni lazima apewe? Au unatamani asipewe?
Tuambie taharuki uliyoipata baada ya Lissu kuhoji. Wewe ni wa ajabu sana, ulishidwaje kupata taharuki kwa kutokumuona kiongozi wako uje upate kwa yule anaehoji kutoonekana kwake? PM alitwambia juzi kwamba alienda kutibiwa, yeye leo kanisani kasema alikuwa nje ya nchi kikazi. Je bado una taharuki?Amehoji au alikuwa anajaribu kuleta taharuki tu!
Muulize huyo kiazi aliyesema hatapewa.Apewe nini