Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Ni wazi kwa sasa hakuna tena wa kumfunga paka Kengele, wengi waliamini Lissu angeweza hii kazi kwa kuwa wanasema yeye sio muoga. Lakini cha kushangaza nae ameonyesha uoga na ameshindwa.
Maswali yaliyo ndani ya Wanachama wengi ni nani sasa ataweza? Je, wataenda hivi hadi lini? Wapo wanaomtaja Heche, Ila kama lissu kachemsha heche ataweza?
Ukweli usiopingika wengi hawamtaki kabisa Ila sababu ya uoga inabidi wakubaliane nae.
Nguvy ya huyu mtu inatoka wapi? Wangwe alijaribu akashindwa, slaa alijaribu akashindwa, zitto alijaribu akashindwa. Kazi ilibaki kwa lissu Ila nae ameshakata tamaa ameamua kurudi zake Belgium
Ni nani ataiweza hii kazi ya kumfunga paka Kengele Chadema?
Maswali yaliyo ndani ya Wanachama wengi ni nani sasa ataweza? Je, wataenda hivi hadi lini? Wapo wanaomtaja Heche, Ila kama lissu kachemsha heche ataweza?
Ukweli usiopingika wengi hawamtaki kabisa Ila sababu ya uoga inabidi wakubaliane nae.
Nguvy ya huyu mtu inatoka wapi? Wangwe alijaribu akashindwa, slaa alijaribu akashindwa, zitto alijaribu akashindwa. Kazi ilibaki kwa lissu Ila nae ameshakata tamaa ameamua kurudi zake Belgium
Ni nani ataiweza hii kazi ya kumfunga paka Kengele Chadema?