kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,140
- 16,123
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.
Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.
Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!