Lissu anazidi kupoteza heshima na ushawishi !

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
14,140
16,123
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.

Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
 
una ugomvi na lissu?
kuna kosa gani mlipa kodi kuuliza alipo mla kodi yangu?
hivi boss akikukosa ofisini wiki nzima atakaa kimya au atakutafuta?
viongozi wa serikali ni watumishi wa umma wanaoishi kwa kodi za umma, hivyo umma una haki ya kujua watumishi wake wako wapi, wanafanya nini kwa maslahi ya nani.
ukitaka privacy jiuzulu achia ofisi ya umma kafanye mambo yako, hatutakuulizia.
 
Lissu ni mwanasheria mahiri,hivyo anajua aelezaje kadamnasi na asifuatwe na watumiaji wenye upeo bilashaka unaolingana na wewe mleta mada.Hapo hadi kakufikishia ujumbe huo,ujue ana taarifa nyingi kuliko wewe.Hapo baada ya hata yeye kufikisha taarifa kwa njia ya SWALI,jamii imezidi kupata taharuki ya 'mlengwa' kuhusu mambo mbalimbali yanayoandikwa kwenye mitandao ya kijamii.
 
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.

Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
Kwani kuna kosa amefanya kuhoji aliko Makamu wa Rais?
 
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.

Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
Mkuu Kipara, ebu subiri kidogo kifike kipindi cha kampeni za uchaguzi wa 2024 & 25, halafu uje ufanye tathmini mpya juu yake, ili kujihakikishia ukweli halisi juu ya heshima, ushawishi, na mvuto wake kwa jamii nzima ya Kitanzania. Nakwambia utatambua kuwa hujui.
 
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.

Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
Unatafuta likes kwa Lissu?

Bila kupiga kelele Roma asingerudi, bila kupiga kelele Kipanya asingerudi.

Na waasa watanzania ukiona ndugu yako hapatikani kwenye simy na hujui wapi pakumpata paza sauti
 
Mkuu Kipara, ebu subiri kidogo kifike kipindi cha kampeni za uchaguzi wa 2024&25 zianze rasmi, halafu uje ufanye tathmini mpya juu yake, ili kuhakikisha juu ya ushawishi na mvuto wake kwa jamii nzima ya Kitanzania. Nakwambia utatambua kuwa hujui.
sio mbali tena!
 
una ugomvi na lissu?
kuna kosa gani mlipa kodi kuuliza alipo mla kodi yangu?
hivi boss akikukosa ofisini wiki nzima atakaa kimya au atakutafuta?
viongozi wa serikali ni watumishi wa umma wanaoishi kwa kodi za umma, hivyo umma una haki ya kujua watumishi wake wako wapi, wanafanya nini kwa maslahi ya nani.
ukitaka privacy jiuzulu achia ofisi ya umma kafanye mambo yako, hatutakuulizia.
Umeongea vizuri mkuu! Ukishakuwa kiongozi wa umma unakuwa si mtu wa kawaida kama raia wengine mtaani! Lazima watu wajue ulipo! Nafasi nyeti tatu za juu (Rais, makamu, na waziri mkuu) si za kuchezea! Hawa watu wanaishi kuiwakilisha nchi! Maamuzi yao yanagusa ugali wako wa leo na kesho!
 
Wewe ndo bwege

Lisu alikuwa anazingatia takwa la kikatiba ,kiongozi mkubwa kitaifa anapokuwa anajambo lolote gumu kiafya lazima taifa liambiwe au akisafiri taifa lijue


Huyu unayemtetea karibu wikimbili zote hakuwa anaonekana

Mheshimu lisu usikurupuke
 
Wewe ndo bwege

Lisu alikuwa anazingatia takwa la kikatiba ,kiongozi mkubwa kitaifa anapokuwa anajambo lolote gumu kiafya lazima taifa liambiwe au akisafiri taifa lijue


Huyu unayemtetea karibu wikimbili zote hakuwa anaonekana

Mheshimu lisu usikurupuke
Nafikiri unaburuzwa na hisia!
 

Attachments

  • 20231209_105026.jpg
    20231209_105026.jpg
    144.2 KB · Views: 2
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.

Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
siku zote ujasiri na ujuaji mwingi usiokua na heshima na nidhamu mbele ya umma uliostaarabika humuathiri na kumuharubu muhusika mwenyewe, na zaidi sana na taasisi yake na wafadhili wake
 
Lissu aliyekuwa mwenye uwezo mwingi wa kuchachafya viongozi wa taifa hili,
Leo hii lissu amekuwa ni mmoja ya wale wanasiasa uchwara wenye kushinda mtandaoni na kujaribu kuandika vitu visivyoeleweka,
Lissu kila mara alijaribu kutuhabarisha kwamba ana watu ikulu na wapo kwenye idara nyeti ambao humpenyezea taarifa ,lakini leo hii lissu hana tofauti na martin maranja au maria sarungi wote wamekuwa na habari za kuunga unga.
Namuona lissu haminiki tena kitendo cha lissu kuanza kuhoji yu wapi makamu wa raisi kama kijana tu wa kijiweni asiye na vyanzo.

Eti nao ni mkakati wa kuisumbua serikali lissu ameishiwa hatujui macmuga wa ubelgiji nini anapitia mpaka kushuka kwa kiwango hiki wale watu waliokuwa wakimpenyezea siri nafikiri hawapo tena ndio maana kwa hivi sasa anapuyanga tu!
Chadema tafuteni mtu wa kugombea uraisi lissu hauziki tena akisimama hata mbunge mmoja hampati safari hii!
"Jiwe yupo hai na anachapa kazi ofisini mulitaka mumuone anadhurura KKOO?" PM( 2017) ....Kipara bila akili ni sawa tako
 
..Mpango alikuwa wapi?

..haiwezekani VP asionekane kwa wiki mbili halafu wananchi wasihoji.

..tena wananchi wamepatwa na maafa halafu VP haonekani na hatoi tamko lolote.
 
Back
Top Bottom