PreGE2025 Lissu anasafirishwa kuelekea Central Dar es Salaam

PreGE2025 Lissu anasafirishwa kuelekea Central Dar es Salaam

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kosa lake ni siku ya kikao cha watia nia, alitumia maneno kuwataka wananchi kufanya uasi dhidi ya dhuluma.

Ni kama wenye nchi wamechukia kusikia dhuluma inatakiwa kufanyiwa uasi.

Wengine waliokamatwa wanaachiwa huko Mbinga.
Huenda wanataka kuzuia moto wa kesho Songea.
Uasi dhidi ya SERIKALI nchi zingine unanyongwa Hadi kufa
 
Tutaingia mitaani, maandamano yasiyo na kikomo kama Mwenyekiti hatapata haki yake ya dhamana ndani ya muda wa kisheria ikiwemo kusomewa mashtaka mbele ya hakimu mkazi Mkuu kuanzia saa 48 toka jioni ya leo 09 Aprili 2025
Maandamano mtandaoni
 
Kosa lake ni siku ya kikao cha watia nia, alitumia maneno kuwataka wananchi kufanya uasi dhidi ya dhuluma.

Ni kama wenye nchi wamechukia kusikia dhuluma inatakiwa kufanyiwa uasi.

Wengine waliokamatwa wanaachiwa huko Mbinga.
Huenda wanataka kuzuia moto wa kesho Songea.
 

Attachments

  • 20250409_102230.jpg
    20250409_102230.jpg
    75.7 KB · Views: 19
Uasi? uasi kama wale waasi wa congo? hapana, neno uasi lina maana pana. Ni kutokukubalian, kushinikiza takwa fulani lifanyike. Dhana nyingine kujiondoa kwenye mapatano fulani. Kwa lissu kutamka vile huo uasi si kama ule wa congo. Hana wapiganaji. Hana eneo la kufanyia uasi kama msituni, milimani, baharini, angani na ardhini wamuache tu aendelee na siasa zake za kidemokrasia
 
Tutaingia mitaani, maandamano yasiyo na kikomo kama Mwenyekiti hatapata haki yake ya dhamana ndani ya muda wa kisheria ikiwemo kusomewa mashtaka mbele ya hakimu mkazi Mkuu kuanzia saa 48 toka jioni ya leo 09 Aprili 2025
Labda utaandamana hapa JF. Huyo Lissu wako amekamatwa mbele ya watz mkutanoni na watz waliendelea na shughuli zao kama kawaida.
 
Halafu kuna watu eti wana urafiki na polisi!! Mimi hata ndugu yangu akiingia kwenye hiyo kazi namtenga.
Kuna dogo amemaliza CO alitaka kuomba kazi ya Polisi, Mama yake amegoma amesema akijaribu anamwachia laana!!
 
Uasi? uasi kama wale waasi wa congo? hapana, neno uasi lina maana pana. Ni kutokukubalian, kushinikiza takwa fulani lifanyike. Dhana nyingine kujiondoa kwenye mapatano fulani. Kwa lissu kutamka vile huo uasi si kama ule wa congo. Hana wapiganaji. Hana eneo la kufanyia uasi kama msituni, milimani, baharini, angani na ardhini wamuache tu aendelee na siasa zake za kidemokrasia
Subirini afikishwe mahakamani mkamtetee huko na teminoloji zenu hizo.
 
Kosa lake ni siku ya kikao cha watia nia, alitumia maneno kuwataka wananchi kufanya uasi dhidi ya dhuluma.

Ni kama wenye nchi wamechukia kusikia dhuluma inatakiwa kufanyiwa uasi.

Wengine waliokamatwa wanaachiwa huko Mbinga.
Huenda wanataka kuzuia moto wa kesho Songea.
Nchimbi anataka kufurahisha watawala kwamba Lissu kamdhibiti akiwa kwao Ruvuma.
 
Akafungwe sasa kwa kesi ya uhainii, ana mdomo sana, atatoka mwezi wa 8 mwakani kwa dhamana baada ya mabwana zake wa kizungu kuja kumlilia
Wewe unadhan lisu na chadema wanatetea maslah ya familia zao.kijijin kwenu huwenda munaish nyumba za nyasi alafu unakuja kuongea ujinga huku.ikiwa unafurahia kuish kwenye nch ambayo watu wake wakiisemea nch yao pale serikali inapokosea inakua uhaini wewe niwakuombewa ujitambue
 
Kosa lake ni siku ya kikao cha watia nia, alitumia maneno kuwataka wananchi kufanya uasi dhidi ya dhuluma.

Ni kama wenye nchi wamechukia kusikia dhuluma inatakiwa kufanyiwa uasi.

Wengine waliokamatwa wanaachiwa huko Mbinga.
Huenda wanataka kuzuia moto wa kesho Songea.
kwani wamefanya ?

Sheria hiyo haipo na lisu ndo aliikataa simbachawene akiwa waziri WA Sheria au utumishi....kashashinda
 
Akafungwe sasa kwa kesi ya uhainii, ana mdomo sana, atatoka mwezi wa 8 mwakani kwa dhamana baada ya mabwana zake wa kizungu kuja kumlilia
20250407_122343.jpg

Ndio hoja zenu hizo moto wake hamuuwezi bila ya hizo mbwa mnazotegemea.
 
Labda utaandamana hapa JF. Huyo Lissu wako amekamatwa mbele ya watz mkutanoni na watz waliendelea na shughuli zao kama kawaida.
Hapana mabomu yalipigwa sana watu walitawanyika, hawakuendelea na shughuli.
 
Ukisoma comments zinazotolewa hapa na keyboard worriors unaweza dhani Lisu ni mtu mmoja maarufu Tanzania kumbe ni mropokaji mmoja wa huko Ikungi-Singida
 
Back
Top Bottom