umebadili gia anganiKuna tofauti kubwa kati ya waliomkata na waliomtetea, alikatwa kwa maslahi ya chama kutokana na ukweli uliopo kipindi hicho ambapo wapinzani waliamini kuwa lowasa ni fisadi,na kwakuwa hakukuwa na njia nyingine ya kuwaaminisha kuwa si fisadi(kumbuka ccm walikuwa wanamtetea kipindi hicho) so alikatwa kama kutolewa sadaka but hakukatwa kwakuwa ni kweli alikuwa fisadi ila ni kuondoa sintofahamu iliyopo
Kumbe nini? Yaani propaganda za CCM umezikubali?kumbeeeeee
Wewe ni ulipo tupo ndio maana unaona huu ni uchonganishi ....mmetuharibia Chama chetu tunaonekana matapeli ....waongo ....hatuaminiki ...tunatetea mafisadi n.k ....mmefanya vijana wa mitandaoni wapate shida sana kukitetea chama tofauti na before 2015 ambapo tulitawala mitandao yote ....Haya mambo ya 2014 hayawezi kukuza uchonganishi propaganda za CCM
Kumbe nini? Yaani propaganda za CCM umezikubali?
propaganda ipo wapi na mimi ninakiamini chama na lissu mpaka ninapoandika bado naamini lowassa ni fisadi ila hajapata nafasi ruzuku ya chama ni ndogo hawezi kuiba!Kumbe nini? Yaani propaganda za CCM umezikubali?
Chama hakijaharibika kwani chama kina wabunge wengi kina madiwani wengi mpaka CCM wameamua kuwanunua ili wajiuzulu, mafisadi gani? Richmond ni ya kikwete tayari Lowasa alishaabika Ukweli wote, usikariri propaganda za CCM ya miaka ile ambayo ilimchafua Lowasa ikawapelekea chadema data za uongo dhidi ya lowasa, hakuna anayeharibu chama kuonekana tapeli utakuwa peke yako na hakuna shida kujibu chochote mitandaoni kwani wenye Akili wanajua Ukweli kuwa awamu ya sasa ya Mtukufu malaika toka chato inatumia pesa za viwanda, kodi, safari za nje nk kudhoofisha upinzani ndiyo maana hakuwa maendeleo licha ya kujinadi wanakusanya kodi nyingi.Wewe ni ulipo tupo ndio maana unaona huu ni uchonganishi ....mmetuharibia Chama chetu tunaonekana matapeli ....waongo ....hatuaminiki ...tunatetea mafisadi n.k ....mmefanya vijana wa mitandaoni wapate shida sana kukitetea chama tofauti na before 2015 ambapo tulitawala mitandao yote ....
Umekariri propaganda mpaka unakufa ni hatari sana, Tambua kuwa Richmond ni ya kikwete na uamini kuwa Pato la Taifa kule hazina lote Linaenda kwa Lipumba kwa ajili ya kuua CUF na kudhoofisha upinzani ndiyo maana hakuna maendeleo thamani ya shilingi inazidi kushuka dhidi ya dola hakuna cha viwanda wala nini pesa zote anakula lipumba kujenga Chato na mambo ya hovyo hovyo tu huko CCM.propaganda ipo wapi na mimi ninakiamini chama na lissu mpaka ninapoandika bado naamini lowassa ni fisadi ila hajapata nafasi ruzuku ya chama ni ndogo hawezi kuiba!
Zote anakula Lipumba kusanyeni kodi kwa wingi lakini mjue pesa yote atapewa Lipumba ili azitumie kitoa Rishwa mahakamani kuwalipa mawakili, kamati za Ufundi na vikundi vya kumlindaPesa pesa pesa
mimi ni mwanachama wa chadema mwaminifu na mtiifu tangu mwaka 1995 na sitaki kwenda tofauti na kauli ya chama na viongozi wangu wa chadema kwenye viwanja vya mwembe yanga!Umekariri propaganda mpaka unakufa ni hatari sana, Tambua kuwa Richmond ni ya kikwete na uamini kuwa Pato la Taifa kule hazina lote Linaenda kwa Lipumba kwa ajili ya kuua CUF na kudhoofisha upinzani ndiyo maana hakuna maendeleo thamani ya shilingi inazidi kushuka dhidi ya dola hakuna cha viwanda wala nini pesa zote anakula lipumba kujenga Chato na mambo ya hovyo hovyo tu huko CCM.
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!
Le Mutuz
Le mbabaz uliyajua haya mapema sana.- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!
Le Mutuz