Lissu amshukia Lowassa

Lissu amshukia Lowassa

Kuna tofauti kubwa kati ya waliomkata na waliomtetea, alikatwa kwa maslahi ya chama kutokana na ukweli uliopo kipindi hicho ambapo wapinzani waliamini kuwa lowasa ni fisadi,na kwakuwa hakukuwa na njia nyingine ya kuwaaminisha kuwa si fisadi(kumbuka ccm walikuwa wanamtetea kipindi hicho) so alikatwa kama kutolewa sadaka but hakukatwa kwakuwa ni kweli alikuwa fisadi ila ni kuondoa sintofahamu iliyopo
Hahahaaaaa a dog is a dog kula matapishi yake hakumpi shida.
Simba hali mzoga.
Vizazi vitawahukumu.
Wapi msaliti kuja soma hii maneno ya 2014
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz
Ulitaka kitoa ujumbe gani hapa le mdingi??
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz
Mzee tulikuona boya enzi hizi ....kumbe kweli chama kinauzwa ....
 
chadema kwa matendo yao ya aibu wanatudhalilisha watanzania.
 
dah kweli siasa za nchi maskin ni tabu sana
Na Grace Macha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM) wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi, Edward Lowassa anadaiwa kutumia kigezo cha udini kutaka kuungwa mkono kwenye harakati za kukimbilia Ikulu jambo linalohatarisha amani ya nchi.

Aidha Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuweka hadharani majina ya watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya ambayo aliwahi kulitangazia Taifa kuwa anayo vinginevyo itakuwa ni vigumu kuondoa mashaka kuwa si mshirika wao.

Hayo yalisemwa juzi na Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu na wakati akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Sombetini, Ally Bananga kwenye viwanja vya Ngusero.

Lissu alisema kuwa baada ya Lowassa kuona hana sifa za uongozi kutokana na kuwa si muadilifu wala safi kulingana na tuhuma za ufisadi zinazomwandama ameamua kukimbilia makanisani akiwashawishi viongozi wa dini wamuuunge mkono kwa kigezo cha kuwa ni Mkristo mwenzao.

"Kuna makada wengine wa CCM nao wanazunguka huko misikitini wakisema hii ni zamu yetu sisi Waislam hivyo anashawishi wamchague kwa kigezo cha Uislam tu .Hawa watu wanasahau dini si kigezo wala sifa ya uongozi tuwakataeni, sijui wanalipeleka wapi hili Taifa zaidi wanatutafutia machafuko hawatufai wote hawa," alisema Lissu.

Akizungumzia muswada wa madiliko ya katiba, Lissu alisema kuwa katiba inasema kuwa nchi ni moja lakini kwa sasa kuna Maamiri Jeshi wawili ambao mmoja ni Mwenyekiti wa CCM, Kikwete na mwingine ni Makamu wake, Dk Mohamed Shein jambo alilosema kuwa ni hatari sana hasa ikitokea wakitofautiana na kupishana kauli ilihali wote wanamajeshi.


JUHUDI ZA KUMPATA LOWASSA KUZUNGUMZIA MADAI HAYA ZILIGONGA MWAMBA BAADA YA SIMU YAKE YA KIGANJANI KUPOKEWA NA MTU MWINGINE AKIDAI MBUNGE HUYO WA MONDULI YUKO KIKAONI AMBAPO ALITAKA APIGIWE BAADA YA SAA MOJA.

ALIPOPIGIWA TENA SIMU HIYO ILIITA BILA KUPOKELEWA
 
mimi ni mwanachama wa chadema mwaminifu na mtiifu tangu mwaka 1995 na sitaki kwenda tofauti na kauli ya chama na viongozi wangu wa chadema kwenye viwanja vya mwembe yanga!
Mkuu kipara hawa vijana ni hatar
 
Aliyewapa Chadema jina la nyumbu hukukosea. Sasa wanakula matapishi yao. Siasa za Tanzania ni za unafiki na uzandiki uliopitiliza.
 
Chadema ni genge la Wahuni waliojificha katika mwamvuli wa Siasa. Leo hii Yericko anacheza singeli ya Lowassa "Unatoa Hutoi" na kula matapishi yake. Shubaaaamitt!
 
- duh makubwa haya sasa mmeanza kumshukia mwokozi wenu wallahi haya maaajabu najua huyo Lissu kesho ataitwa kuonywa na wakubwa wake Lowassa ahashambuliwi na Chadema hata siku moja, anyways nitamtafuta Lissu nimuulize kulikoni kama kweli haya ni kweli basi ana ujasiri sana!!

Le Mutuz
Le mutuz nna uhakika ulivujishiwa hizi movement zilizokuwa zikifanywa chini chini na Mbowe na baadhi ya vigogo kumuhusu Lowassa!!!

Maana nakumbuka mwaka 2012 kuna mwandishi sikumbuki ilikuwa gazeti gani alianika hii ishu kwa kina namna Mbowe anavyofanya vikao vya siri na team ya Lowassa kuhusu uwezekano wa kuhamia Chadema pindi Ccm wakimtosa uraisi.

Ilipofika 2015 ndipo nikahitimisha kwa kuona upinzani tz ni genge la waganga njaa tu!!!
 
B
Na Grace Macha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM) wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi, Edward Lowassa anadaiwa kutumia kigezo cha udini kutaka kuungwa mkono kwenye harakati za kukimbilia Ikulu jambo linalohatarisha amani ya nchi.

Aidha Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kuweka hadharani majina ya watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya ambayo aliwahi kulitangazia Taifa kuwa anayo vinginevyo itakuwa ni vigumu kuondoa mashaka kuwa si mshirika wao.

Hayo yalisemwa juzi na Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu na wakati akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Sombetini, Ally Bananga kwenye viwanja vya Ngusero.

Lissu alisema kuwa baada ya Lowassa kuona hana sifa za uongozi kutokana na kuwa si muadilifu wala safi kulingana na tuhuma za ufisadi zinazomwandama ameamua kukimbilia makanisani akiwashawishi viongozi wa dini wamuuunge mkono kwa kigezo cha kuwa ni Mkristo mwenzao.

"Kuna makada wengine wa CCM nao wanazunguka huko misikitini wakisema hii ni zamu yetu sisi Waislam hivyo anashawishi wamchague kwa kigezo cha Uislam tu .Hawa watu wanasahau dini si kigezo wala sifa ya uongozi tuwakataeni, sijui wanalipeleka wapi hili Taifa zaidi wanatutafutia machafuko hawatufai wote hawa," alisema Lissu.

Akizungumzia muswada wa madiliko ya katiba, Lissu alisema kuwa katiba inasema kuwa nchi ni moja lakini kwa sasa kuna Maamiri Jeshi wawili ambao mmoja ni Mwenyekiti wa CCM, Kikwete na mwingine ni Makamu wake, Dk Mohamed Shein jambo alilosema kuwa ni hatari sana hasa ikitokea wakitofautiana na kupishana kauli ilihali wote wanamajeshi.


JUHUDI ZA KUMPATA LOWASSA KUZUNGUMZIA MADAI HAYA ZILIGONGA MWAMBA BAADA YA SIMU YAKE YA KIGANJANI KUPOKEWA NA MTU MWINGINE AKIDAI MBUNGE HUYO WA MONDULI YUKO KIKAONI AMBAPO ALITAKA APIGIWE BAADA YA SAA MOJA.

ALIPOPIGIWA TENA SIMU HIYO ILIITA BILA KUPOKELEWA
Bure kabisa
 
Back
Top Bottom