Lissu ni shujaa,kawapiga nyundo ya kichwa mafisadi ya Chadema chini ya Sultan Mbowe na yamepoteana kabisa.Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Maelezo hayajajitosheleza.Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Leo naona chawa wote wameibuka kutoka mashimoni kunanini,ama mwamba kawapuliza dawa ya kuwaangamizeni🤪Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Mbona sasa wanaohangaiki ni chawa😄Lissu ni shujaa,kawapiga nyundo ya kichwa mafisadi ya Chadema chini ya Sultan Mbowe na yamepoteana kabisa.
Kabisa haaminiki hata sekunde!Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Tundu Lissu aliuza Lokiondo Gate kwa Waarabu.Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Chawa wa chadema sio?Mbona sasa wanaohangaiki ni chawa😄
CDM imeambukizwa kuuza sasa ...hilo ndio la ziadaTundu Lissu aliuza Lokiondo Gate kwa Waarabu.
CHADEMA imeuza Ngorongoro Conservation Area
MBOWE kauza bandari.
Haya una la ziada?
Imeuza nini?CDM imeambukizwa kuuza sasa ...hilo ndio la ziada
Angalau Chadema kuna uthubutu wa kusema, unakumbuka yaliyomkuta Ndugai?Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu