Our politicians need to be true patriots.
Ntafurahi sana kama Dr. Salim atajitoa CCM na kwenda kugombea urais kupitia CCJ au chama kingine chochote.
Kwenye kongamano la Nyerere waliongea mambo mengine sana kwa manufaa ya taifa ambayo wanajua JK hawezi kuyatolea maamuzi. Kwann wasiachane na CCM na kujiunga na upinzani ili waiweke nchi katika mstari sahihi?!
The right thing that he can now do it to quit CCM and join opposition. Asipofanya hvyo hatakuwa mzalendo wa kweli. Haiwezekani aone nchi inapelekwa kuangamia halafu anyamaze ashindwe ku-play his part.
Inflation inakaribia double digits, mishahara ya wafanyakazi kima cha chini haiwezi kufikia 315,00/= even after 8yrs, donors wamepunguza misaada by 25% (I think), Nchi haina Vision inayoeleweka kwa kila mwananchi kwamba over the next 50 to 100 years tunataka nchi yetu ifikie level gani, bei ya petrol na vyakula inapanda kila kukicha, barabara zinaharibika kila kukicha and no action, bidhaa feki zimejaa mpaka tunaziona ni genuine, Tshs inazidi kushuka dhamani kila siku, hata kuzuia matumizi ya dollar nchini ameshindwa ndo kwanza ana insist TRA wawe wanadai kodi kwa dollar(Si aifute shillingi kabisa tujue hatuna hela), umeme nao unapanda, nauli za daladala nazo zinapanda, mabasi yandayo kasi yamekuwa nightmare, traffic jam kashindwa kuiondoa, yaani hata kuplan kuhamisha uwanja wa ndege uende nje ya mji hawezi, anafaikiria kuendelea kuwabomolea watu (Sijui tutabomoa mpaka wapi?). It is a mess, I can't even mention EPA, Richmond and the like.
Tunapelekwa na sera mpya kila kukicha zisizo na mchanganuo wa kweli wa kiutekelezaji. Mara kasi mpya, mara misha bora, mara kilimo kwanza na nna uhakika wakati wa uchaguzi atakuja na mpya.
Pamoja na hayo yote; I still strongly believe: one day change will happen, and I'll be part of that change!
Sure I'll!
God have mercy with this Country!