Lisemavyo gazeti la Kimataifa kuhusu CCJ

Lisemavyo gazeti la Kimataifa kuhusu CCJ

Our politicians need to be true patriots.

Ntafurahi sana kama Dr. Salim atajitoa CCM na kwenda kugombea urais kupitia CCJ au chama kingine chochote.
Kwenye kongamano la Nyerere waliongea mambo mengine sana kwa manufaa ya taifa ambayo wanajua JK hawezi kuyatolea maamuzi. Kwann wasiachane na CCM na kujiunga na upinzani ili waiweke nchi katika mstari sahihi?!
The right thing that he can now do it to quit CCM and join opposition. Asipofanya hvyo hatakuwa mzalendo wa kweli. Haiwezekani aone nchi inapelekwa kuangamia halafu anyamaze ashindwe ku-play his part.

Inflation inakaribia double digits, mishahara ya wafanyakazi kima cha chini haiwezi kufikia 315,00/= even after 8yrs, donors wamepunguza misaada by 25% (I think), Nchi haina Vision inayoeleweka kwa kila mwananchi kwamba over the next 50 to 100 years tunataka nchi yetu ifikie level gani, bei ya petrol na vyakula inapanda kila kukicha, barabara zinaharibika kila kukicha and no action, bidhaa feki zimejaa mpaka tunaziona ni genuine, Tshs inazidi kushuka dhamani kila siku, hata kuzuia matumizi ya dollar nchini ameshindwa ndo kwanza ana insist TRA wawe wanadai kodi kwa dollar(Si aifute shillingi kabisa tujue hatuna hela), umeme nao unapanda, nauli za daladala nazo zinapanda, mabasi yandayo kasi yamekuwa nightmare, traffic jam kashindwa kuiondoa, yaani hata kuplan kuhamisha uwanja wa ndege uende nje ya mji hawezi, anafaikiria kuendelea kuwabomolea watu (Sijui tutabomoa mpaka wapi?). It is a mess, I can't even mention EPA, Richmond and the like.

Tunapelekwa na sera mpya kila kukicha zisizo na mchanganuo wa kweli wa kiutekelezaji. Mara kasi mpya, mara misha bora, mara kilimo kwanza na nna uhakika wakati wa uchaguzi atakuja na mpya.

Pamoja na hayo yote; I still strongly believe: one day change will happen, and I'll be part of that change!
Sure I'll!

God have mercy with this Country!

Mkuu hapa umenigusa panapouma haswaaaa!
 
Mwanakijiji Hili gazeti la kimataifa linaitwaje au muandishi wa hiyo article anaitwa nani.?

But anyway hope hiyo analysis au hayo maono ya mchambuzi yawe si tu ya kweli lakini yaje very soon

www.africaintelligence.com/.../an-arm-to-blackmail-kikwete,83389913-ART
 
Acheni story nyingi kwenye mitandao na magazeti sasa tunatakiwa tuungane na ccj kuikomboa hii nchi iliyo tekwa kinyemela na watu wachache
na sasa wanakula maisha mazuri na walio wengi wanataabika kwa mlo mmoja kwa mshahara wa siku saba kwa kufanya kazi siku 24.
 
Our politicians need to be true patriots.

Ntafurahi sana kama Dr. Salim atajitoa CCM na kwenda kugombea urais kupitia CCJ au chama kingine chochote.

Kwenye kongamano la Nyerere waliongea mambo mengine sana kwa manufaa ya taifa ambayo wanajua JK hawezi kuyatolea maamuzi. Kwann wasiachane na CCM na kujiunga na upinzani ili waiweke nchi katika mstari sahihi?!

The right thing that he can now do it to quit CCM and join opposition. Asipofanya hvyo hatakuwa mzalendo wa kweli. Haiwezekani aone nchi inapelekwa kuangamia halafu anyamaze ashindwe ku-play his part.

Inflation inakaribia double digits, mishahara ya wafanyakazi kima cha chini haiwezi kufikia 315,00/= even after 8yrs, donors wamepunguza misaada by 25% (I think), Nchi haina Vision inayoeleweka kwa kila mwananchi kwamba over the next 50 to 100 years tunataka nchi yetu ifikie level gani, bei ya petrol na vyakula inapanda kila kukicha, barabara zinaharibika kila kukicha and no action, bidhaa feki zimejaa mpaka tunaziona ni genuine, Tshs inazidi kushuka dhamani kila siku, hata kuzuia matumizi ya dollar nchini ameshindwa ndo kwanza ana insist TRA wawe wanadai kodi kwa dollar(Si aifute shillingi kabisa tujue hatuna hela), umeme nao unapanda, nauli za daladala nazo zinapanda, mabasi yandayo kasi yamekuwa nightmare, traffic jam kashindwa kuiondoa, yaani hata kuplan kuhamisha uwanja wa ndege uende nje ya mji hawezi, anafaikiria kuendelea kuwabomolea watu (Sijui tutabomoa mpaka wapi?). It is a mess, I can't even mention EPA, Richmond and the like.

Tunapelekwa na sera mpya kila kukicha zisizo na mchanganuo wa kweli wa kiutekelezaji. Mara kasi mpya, mara misha bora, mara kilimo kwanza na nna uhakika wakati wa uchaguzi atakuja na mpya.

Pamoja na hayo yote; I still strongly believe: one day change will happen, and I'll be part of that change!
Sure I'll!

God have mercy with this Country!

Brother I happen to share the same views as you here!

Mungu ibariki Tanzania na watu wake, wajalie kuepuka uoga na kusimama imara kushika hatamu za hatima zao!
 
Haya mambo magumu kweli, hasa kwa wanasiasa wetu wakongwe, wana miguu ya clay. sasa kama hawana uthubutu wa kujiunga kwa sasa wakaonekana na wakajitoa CCM hadharani wakapigania tanzania kama wanavyodai wanatamani, na CCM inawakera?

Watawezaje kufanya maamuzi magumu zaidi ya hayo watakapokuwa viongozi? mie hata sina hamu nao!!
Bora vyama vyetu vya upinzania mabavyo vimeona tatizo na wakaingia vitani, hadharani, na tunaona mateso, dharau, umassikini, matusi wanayoyapata. Hawa ndi wazalendo wa kweli!!
Hawaogopi mambo wanayoyapigania!

Hata kama wasipopata kuona matunda yake, damu yao haitapotea bure, wameandikwa katika miyo yetu.
Hongereni sana wote kwa ujasiri wenu, kila mmoja kwa uwezo wake na udhaifu wake, GOD bless you all.
Hawa wanaosemekana wanatoka, kisiri, wanachoogopa nini? njaa? madhambi yao ya zamani? mbona wote tu tuna dhambi? there is no way utakumbatia uongo wakati unapigania ukweli, unajidanganya mtu mzima.

MIE SIKIPENDI CHAMA CHA CCJ, KWANI KINATAKA KUWAKUMBATIA WANAFIKI, INA MAANA HAO WAKISHINDA, WATAKUBALI KUPELEKANA MAHAKAMANI WAO KWA WAO?
 
Haya mambo magumu kweli, hasa kwa wanasiasa wetu wakongwe, wana miguu ya clay. sasa kama hawana uthubutu wa kujiunga kwa sasa wakaonekana na wakajitoa CCM hadharani wakapigania tanzania kama wanavyodai wanatamani, na CCM inawakera?

Watawezaje kufanya maamuzi magumu zaidi ya hayo watakapokuwa viongozi? mie hata sina hamu nao!!
Bora vyama vyetu vya upinzania mabavyo vimeona tatizo na wakaingia vitani, hadharani, na tunaona mateso, dharau, umassikini, matusi wanayoyapata. Hawa ndi wazalendo wa kweli!!
Hawaogopi mambo wanayoyapigania!

Hata kama wasipopata kuona matunda yake, damu yao haitapotea bure, wameandikwa katika miyo yetu.
Hongereni sana wote kwa ujasiri wenu, kila mmoja kwa uwezo wake na udhaifu wake, GOD bless you all.
Hawa wanaosemekana wanatoka, kisiri, wanachoogopa nini? njaa? madhambi yao ya zamani? mbona wote tu tuna dhambi? there is no way utakumbatia uongo wakati unapigania ukweli, unajidanganya mtu mzima.

MIE SIKIPENDI CHAMA CHA CCJ, KWANI KINATAKA KUWAKUMBATIA WANAFIKI, INA MAANA HAO WAKISHINDA, WATAKUBALI KUPELEKANA MAHAKAMANI WAO KWA WAO?

Haika

maneno yako ni ya kweli kabisa pamoja na kwamba napenda sana mageuzi yatokee lakini sidhani kama hawa wanafiki watafanya chochote. kwanzan kama wanaipenda nchi wangetoka ccm 2007 nchi ingekuwa imeokoa mamilioni ya shilingi lakini mpaka sasa wameng'ang'ania huko na kusubiri september baada ya kulipwa mafao yao ndiyo waje ccj na kuchukua nchi. halafu wanatuambia kuwa wana itikadi. kweli mtu mwenye itikadi anaweza kuiweka rehani itikadi yake? wote hawa wakina salim, walioba na wenginewo ni loosers tu wa keki ya taifa lakini hawana mapenzi yoyote na nchi hii na ndiyo maana wamekaa kimya sasa wakisubiri zamu yao kama ipo.
 
Our politicians need to be true patriots.

Ntafurahi sana kama Dr. Salim atajitoa CCM na kwenda kugombea urais kupitia CCJ au chama kingine chochote.

Kwenye kongamano la Nyerere waliongea mambo mengine sana kwa manufaa ya taifa ambayo wanajua JK hawezi kuyatolea maamuzi. Kwann wasiachane na CCM na kujiunga na upinzani ili waiweke nchi katika mstari sahihi?!

The right thing that he can now do it to quit CCM and join opposition. Asipofanya hvyo hatakuwa mzalendo wa kweli. Haiwezekani aone nchi inapelekwa kuangamia halafu anyamaze ashindwe ku-play his part.

Inflation inakaribia double digits, mishahara ya wafanyakazi kima cha chini haiwezi kufikia 315,00/= even after 8yrs, donors wamepunguza misaada by 25% (I think), Nchi haina Vision inayoeleweka kwa kila mwananchi kwamba over the next 50 to 100 years tunataka nchi yetu ifikie level gani, bei ya petrol na vyakula inapanda kila kukicha, barabara zinaharibika kila kukicha and no action, bidhaa feki zimejaa mpaka tunaziona ni genuine, Tshs inazidi kushuka dhamani kila siku, hata kuzuia matumizi ya dollar nchini ameshindwa ndo kwanza ana insist TRA wawe wanadai kodi kwa dollar(Si aifute shillingi kabisa tujue hatuna hela), umeme nao unapanda, nauli za daladala nazo zinapanda, mabasi yandayo kasi yamekuwa nightmare, traffic jam kashindwa kuiondoa, yaani hata kuplan kuhamisha uwanja wa ndege uende nje ya mji hawezi, anafaikiria kuendelea kuwabomolea watu (Sijui tutabomoa mpaka wapi?). It is a mess, I can't even mention EPA, Richmond and the like.

Tunapelekwa na sera mpya kila kukicha zisizo na mchanganuo wa kweli wa kiutekelezaji. Mara kasi mpya, mara misha bora, mara kilimo kwanza na nna uhakika wakati wa uchaguzi atakuja na mpya.

Pamoja na hayo yote; I still strongly believe: one day change will happen, and I'll be part of that change!
Sure I'll!

God have mercy with this Country!

Ingekuwa vizuri sana CCM ingeng'olewa kutoka madarakani mwaka huu. Lakini sitegemei mabadiliko hayo katika uchaguzi ujao. Ni Kikwete tena.

Salim Ahmed Salim anajua hawezi kuingia Ikulu bila CCM. Ni chama ambacho hakina upinzani mkubwa, au wa kutosha, hasa Tanzania bara. Akichaguliwa mwaka huu na vigogo wa CCM kuwa makamu wa raisi, badala ya Ali Mohammed Shein, kuna tumaini kubwa sana kwamba atakuwa raisi wa Muungano baada ya Kikwete kuondoka Ikulu mwaka wa 2015.

Wanaosema ni zamu ya Zanzibar kulipa taifa letu raisi wa Muungano wataridhika Dr. Salim akichaguliwa 2015, ingawa katiba ya Muungano haisemi tupeane zamu kati ya visiwa na bara tunapomchagua raisi wa nchi yetu.

Pia hao Wazanzibari wanao lialia na kusema ni zamu yao kulipa taifa letu raisi wa Muungano, wakumbuke kwamba ndiyo wao wenyewe waliompinga Dr. Salim tangu 1985 kuhakikisha kwamba haingii Ikulu. Walimpinga Dr. Salim Mwalimu Nyerere alipokuwa hai, na walimpinga hata baada ya Mwalimu kutuondoka. Na hata leo kuna wengi visiwani ambao wanampinga na hawataki awe raisi wa Jamhuri ya Muungano au Zanzibar.

Akichaguliwa kuwa makamu wa raisi wa Muungano mwaka huu ili apate njia na nafasi ya kuingia Ikulu baada ya Kikwete kuondoka Ikulu 2015, itakuwa ni kwa sababu vigogo wa CCM kutoka Tanzania bara wameamua kufanya hivyo. Hakuna kiongozi anayeweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Muungano bila uamuzi wa vigogo katika CCM upande huu wa Muungano, yaani Tanzania bara.

Ndugu zetu visiwani wakumbuke kwamba ikiwa vongozi wa CCM wanataka tupeane zamu, kati ya bara na visiwa kulipa taifa letu raisi au makamu wa raisi wa Muungano, ni kwa sababu wanataka kufanya hivyo, na siyo kwa sababu ya katiba. Ni sawa na kule Nigeria ambako viongozi wa chama cha utawala, People's Democratic Party, kutoka kaskazini na kusini ya nchi, wamekubaliana kwamba ikiwa raisi wa Shirikisho la Nigeria anatoka kusini, makamu wake ni lazima atoke kaskazini. Na baada ya hapo, raisi ni lazima atoke kaskazini ikiwa kabla ya hapo raisi wa Shirikisho alitoka kusini. Tofauti kati ya CCM na People's Democratic Party kule Nigeria ni kwamba chama cha Winigeria kina katiba inayosema hivyo.

Hata tukiendelea kupeana zamu kati ya bara na visiwa kumchagua raisi wa Muungano, na ikiwa Dr. Salim ataingia Ikulu baada ya uchaguzi wa 2015, jambo la kusikitisha, na ambalo ni la kusikitisha sana, ni kwamba bado tutakuwa chini ya uongozi wa chama kibovu: CCM.

Salim angechaguliwa kuwa raisi wa Muungano 2005, au kabla ya hapo, wapinzani wake wasingemchafulia mambo miaka hiyo. Lakini bado kuna uwezekano atachaguliwa kuwa raisi wa Tanzania, vigogo wa CCM bara wakiamua kufanya hivyo, ingawa kuna Watanzania wanaosema muda wake umepita.
 
Na kama CCJ inawategemea hawa "spent-forces" wa CCM ili kuleta mabadiliko tunayoyataka basi tusubiri chama kingine kipya. Nina matumaini na watu kama Mwanakijiji lakini sio SAS, Warioba, Sumaye,.....Wazee hawa walikuwa na kila nafasi kuleta mabadiliko lakini wakazembea, wakaogopa, wakaufyata, wakanyamaza.
CCJ watafuteni akina Jenerali, Mbwambo, Prof Mmari, Jackson Makweta, Ibra Kaduma, Ansbert Ngurumo, Nicolaus Kuhanga, Mwita Kyaro,.......
 
Na kama CCJ inawategemea hawa "spent-forces" wa CCM ili kuleta mabadiliko tunayoyataka basi tusubiri chama kingine kipya. Nina matumaini na watu kama Mwanakijiji lakini sio SAS, Warioba, Sumaye,.....Wazee hawa walikuwa na kila nafasi kuleta mabadiliko lakini wakazembea, wakaogopa, wakaufyata, wakanyamaza.
CCJ watafuteni akina Jenerali, Mbwambo, Prof Mmari, Jackson Makweta, Ibra Kaduma, Ansbert Ngurumo, Nicolaus Kuhanga, Mwita Kyaro,.......

Nadhani huwatendei haki waliokuwa viongozi wa nchi hii kwa kuwaita "spent-forces". Hawa wameishawahi kuwa viongozi wa nchi hii, wanaelewa uongozi ni nini, wanajua matatizo ya nchi kwa uzuri zaidi kuliko mtu mwingine yeyote wanaweza sana kuiongoza nchi hii kwa umakini unaotakikana na mafanikio tunayoyalilia.

Nakubaliana nawe though kwamba watu uliowataja kama akina Jenerali, Mbwambo and the like bila kumuacha Mzee Mwanakijiji ambao kwa kutumia kalamu zao wamekuwa wakionyesha kuwa na uchungu na nchi hii, wanaweza wakawa viongozi wazuri ili mradi tu nao wakifika pale kileleni wasilewe madaraka! Nasikia Ikulu inalevya!!
 
Mkubwa Kabengwe, nimesoma maandiko yako na inaonekana una machungu na nchi na unatamani siku moja tuwe pahala kama wengine, Lakini swali kubwa naloliona, je wewe unafanya nini kuleta mabadiliko. Kila mwaka watu wanalalamika lakini hakuna jipya. Na kila chaguzi watu wanasema CCM itashindwa kwa sababu hii na ile lakini wanaibuka kidedea tena kwa ushindi wa kishindo. Nimekuwa nikisiliza hotuba za wapenda mageuzi lakini mwisho wa yote tunarudi pale pale. Binafsi naweza kusema sikufanya lolote katika uchaguzi ulopita nilikuwa nimekata tamaa na sikupiga kura, ila uchaguzi huu ata kama kura yangu haitafanya mabadiliko nina uhakika kuwa ntapiga kura na kuchagua kiongozi mwenye maono ya kuleta mabadiliko. Rai ni kwamba sote tujiandikishe na tulete mabadiliko.
Our politicians need to be true patriots.

Ntafurahi sana kama Dr. Salim atajitoa CCM na kwenda kugombea urais kupitia CCJ au chama kingine chochote.

Kwenye kongamano la Nyerere waliongea mambo mengine sana kwa manufaa ya taifa ambayo wanajua JK hawezi kuyatolea maamuzi. Kwann wasiachane na CCM na kujiunga na upinzani ili waiweke nchi katika mstari sahihi?!

The right thing that he can now do it to quit CCM and join opposition. Asipofanya hvyo hatakuwa mzalendo wa kweli. Haiwezekani aone nchi inapelekwa kuangamia halafu anyamaze ashindwe ku-play his part.

Inflation inakaribia double digits, mishahara ya wafanyakazi kima cha chini haiwezi kufikia 315,00/= even after 8yrs, donors wamepunguza misaada by 25% (I think), Nchi haina Vision inayoeleweka kwa kila mwananchi kwamba over the next 50 to 100 years tunataka nchi yetu ifikie level gani, bei ya petrol na vyakula inapanda kila kukicha, barabara zinaharibika kila kukicha and no action, bidhaa feki zimejaa mpaka tunaziona ni genuine, Tshs inazidi kushuka dhamani kila siku, hata kuzuia matumizi ya dollar nchini ameshindwa ndo kwanza ana insist TRA wawe wanadai kodi kwa dollar(Si aifute shillingi kabisa tujue hatuna hela), umeme nao unapanda, nauli za daladala nazo zinapanda, mabasi yandayo kasi yamekuwa nightmare, traffic jam kashindwa kuiondoa, yaani hata kuplan kuhamisha uwanja wa ndege uende nje ya mji hawezi, anafaikiria kuendelea kuwabomolea watu (Sijui tutabomoa mpaka wapi?). It is a mess, I can't even mention EPA, Richmond and the like.

Tunapelekwa na sera mpya kila kukicha zisizo na mchanganuo wa kweli wa kiutekelezaji. Mara kasi mpya, mara misha bora, mara kilimo kwanza na nna uhakika wakati wa uchaguzi atakuja na mpya.

Pamoja na hayo yote; I still strongly believe: one day change will happen, and I'll be part of that change!
Sure I'll!

God have mercy with this Country!
 
Nitafurahi mnoo tukipata chama au uongozi mbadala come October 2010. Lakini kuna kitu kuhusu CCJ kinanifanya nisikie chill up my spine everytime this name pops up - but I can't put my finger on it. Weird stuff!
 
Nitafurahi mnoo tukipata chama au uongozi mbadala come October 2010. Lakini kuna kitu kuhusu CCJ kinanifanya nisikie chill up my spine everytime this name pops up - but I can't put my finger on it. Weird stuff!

TZ hamna chama tawala, kuna chama twawala, na wala hakuna chama mbadala, kuna chama mkafara.
 
..... yaani hata kuplan kuhamisha uwanja wa ndege uende nje ya mji hawezi, anafaikiria kuendelea kuwabomolea watu (Sijui tutabomoa mpaka wapi?).
God have mercy with this Country!

Maneno mazito sana Mkuu Kabangwe. Ila la uwanja wa ndege kama mtu mwenye uelewa mdogo wa mipango ya nchi, uchumi na ku-plan wapi kiwe kiwanja cha ndege, napenda kukuambia "hauko sahihi". Kupeleka uwanja wa ndege nje ya mji utakuwa unazalisha matatizo mengine makubwa zaidi ki-uchumi, muda na afya za wakazi wa Dar. Napenda kukujulisha kuwa ni nchi nyingi sana duniani wana tatizo hilo. Wanafanikiwa pale tu wanapokuwa na usafiri wa uhakika wa kuleta abiria mjini kutoka huko nje ya mji.
Kwa hali ya Tanzania, hata kwa miaka 20 ijayo, nina amini kuwa uwanja wa Dar, bado utaendelea kuwa uwanja muhimu na maarufu Tanzania. Kila jaribio la kujenga kingine, litaishia kupoteza pesa na kuwa kama Kilimanjaro Inter. Airport. Kwa hili "tusimlaumu Muungwana na labda niseme kuwa "hili jambo alihusisha wataalamu....." Kosa kubwa lilikuwa kuruhusu watu wajenge karibu na uwanja wa ndege. Nina imani Dodoma wataweka eneo kubwa sana na ikibidi basi waweke kabisa barabara za kutua ndege nyingi na waanze na moja ili huko mbeleni wakiona haitoshi, basi wanajenga tu mwingine na si Kuvunja nyumba za watu.

Mengine yote nakubaliana na wewe kuwa anachemsha na nchi imemshinda.
 
Hivi kikwete anakumbuka kuwa alisema "mgao wa umeme utakuwa historia baada ya miaka miwili....." mbona harudii haya maneno????
 
tatizo bado ni lile lile nani wa kuthubutu? Walio wengi hawataki kutoka sisi emu kisa hawana uhakika na ku-retain ubunge wao kwa ticket ya CCJ, na kikubwa zaidi Golden hand-shake ya kuvunjwa kwa bunge, so ndugu zangu hilo halitatokea wataendelea ku-hibernate hapo hapo sisi emu
 
naomba hayo yatokee. Sisi em imdondokee akose JK apate pakukumbukiwa.
 
Back
Top Bottom