Lipumba NI CCM ?

Bontowar

JF-Expert Member
Feb 21, 2009
520
52
Nasikia Lipumba naye ni miongoni mwa watu wa CCM anawayeyusha CUF

Za ndani zaidi na zitakak
 
Nasikia Lipumba naye ni miongoni mwa watu wa CCM anawayeyusha CUF

Za ndani zaidi na zitakak

Hiyo inawezekana. Niliwahi kuuliza kama kuna mtu anaweza kututhibitishia tetesi nilizokuwa nimepata kwamba jamaa ni kijana wa Usalama wa Taifa kama akina Mrema nikakosa jibu. Kwa hiyo siwezi kuthibitisha unayosema ila mwenendo wa mambo yake unaweza kutupatia hints kama kweli ni CCM au la!! Binafsi sitashangaa kwa sababu kazi CCM na kitu kilichoisaidia kuendelea kuwatesa Watanzania ni kuweka viongozi mamluki kwenye upinzani.
 
Ina maana usalama wa taifa ni CCM damu? no wonder wamejazana serikalini ktk nafasi nyeti za kiutawala.

Ila kuhusu Lipumba naweza kusema kwamba yeye ni CUF ila kakosa mwelekeo na dira kutokana na ulevi wa madaraka
 
Pindi wapinzani wanapokosa muelekeo na kupoteza kabisa matumaini ya watanganyika kukombolewa kutoka katika mikono onevu ya CCM husingizia CCM. Jamani tusiwape kichwa hawa wapinzani tuliwapa dhamana mwaka 1992 ya kutukomboa wana deni kwa watanzania wasifikiri hizo ruzuku tunazowapatia hazituumi, ni kodi zetu na madeni tunayowaachia watoto wetu. Kila kukicha wanakuja na visingizio tu kwani CCM ni nini? Watanzania tuzinduke hawa wanakula ruzuku linapokuja suala mabadiliko wanajitoa eti CCM imepandikiza watu shenzi type kwani mnapo wachagua kwa asilimia 99.9(hadi prof safari anasusa) huwa hamjui. Tena siku hizi nawaona hawa wapinzani ndio mafisadi wakubwa kuliko hata hao CCM, nakuanzia mwaka huu tunataka mahesabu yao yakaguliwe na taarifa ziwekwe wazi..WIZI WAKUBWA WA FEDHA ZA MASIKINI.
 
Huyo Profesa wa uchumi amethibitisja usemi wa "If you cant beat them, join them" -- yani 'kama huwezi kuwashinda basi jiunge nao.' Kaishiwa mbinu kwani ile unpopular ajenda yake ya muafaka imeshindikana na hana ujasiri kuhusu ile ajenda ya ufisadi ya Chadema.

Halafu msisahau kuna connection ya Jussa-Rostam kwani hawa ni maswahiba wakubwa sana. Uswahiba huu ndiyo umemteka Profesa hali kadhalika Hamad Rashid -- kwani wote hawa wawili wanaonekana kubadili tyuni kuhusu vita dhidi ya ufisadi. Swali la Hamad kwa Pinda katika kikao cha Bunge kilichopita kilikuwa na mwelekeo wa tyuni hii mpya.
 
Kwani hukuona kile kitendo chake cha kuungana na Safu ya

Mawaziri waSerikali ya CCM, akina Simba na Mkuchika katika

kupinga kutajwa list ya mafisadi?

Kwasasa hana jipya, amepoteza mwelekeo, and he is good-4-

nothing. Na nyie wana JF, mmekosa confidence?

Au hampendi madaraka? Embu atoke huku mtu jasiri,

agombee `Umiliki wa inji hii`, via the so called upinzani,

tutampa full support.... Eboo!
 
Hata mimi nimesikia Freeman Mbowe, Dr Wilbroad Slaa, Zitto Zubeir Kabwe WOTE CCM ila kule wanayeyusha watu tuu.....
 
Baba wa Taifa Hakutaka huu utitiri wa vyama kwa maana alisadiki katika msafara wa mamba, basi kenge wapo kibao tu. Ndio maana alitaka kuona ccm ileile inagawanyika katika mapande mawili, maana hapo lazima pumba ingeonekana na mchele ungeonekana. Lipumba & Co wanatumika na wanalipwa kwa hicho wanachokifanya.
 
Lipumba, Kikwete, Lowassa na wenzao wote walitwaliwa kwenye USHUSHUSHU wakiwa bado mashuleni. Darasa la Kikwete pale Tanga School, 80% walikuwa recruited kwenye system. Ukiingia, hutoki!

Msuruhishi
 
Lipumba, Kikwete, Lowassa na wenzao wote walitwaliwa kwenye USHUSHUSHU wakiwa bado mashuleni. Darasa la Kikwete pale Tanga School, 80% walikuwa recruited kwenye system. Ukiingia, hutoki!

Msuruhishi

Karibu msuruhishi jamvini naona post yako ya kwanza ni data nyeti za ushushu inavyoelekea maswali ya waungwana hapa kuhusu hizo issue yatajibiwa
 
No no no no no no no no. Labda Zitto mzee wa Dowans.

Mashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.

Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!
 
Mashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.

Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!
Na naomba uwakumbushe Wapiga Kura wa Busanda, wasikubali kuwapigia CCM, au CUF au UDP, maana hizo ni njama za CCM za divide and rule, na nasikia wameanza kuangusha nguzo za Umeme, wambie hicho ni chambo kama wanachopewa samaki, nao wakiwa kama binadamu waaakili zaidi ya samaki. na wakumbuke walio waibia madini ni nani? ccm? Sasa wasikubali kuibiwa mabilioni nao wakapewa milioni.
 
Mashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.

Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!


Si useme tu umevuta....
 
Mashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.

Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!
Safi sana Zito kwa majibu yako mazuri, nimeyapenda. mtu anaacha kujadili kilicholetwa anarukia habari nyingine, suala linalojadiliwa hapa ni Lipumba habari ya Zito imetoka wapi. Swala la Dowans lilishaisha sasa tuangalie mambo yaliyo mbele yetu ndiyo tuyajadili. Naona si vema kuendelea kukashifiana wakati suala lenyewe lilishaelezwa, kwa staili hiyo tutakuwa hatujengi msingi ulio bora tutakuwa tunawakatisha tamaa watu wanaofanya kazi ya kulikomboa taifa letu. Asanteni tuendelee na mjadala
 
Back
Top Bottom