Nasikia Lipumba naye ni miongoni mwa watu wa CCM anawayeyusha CUF
Za ndani zaidi na zitakak
hiyo file ya PDF mbona haifunguki ingawa nimeweza kuidownload nisaidieni tafadhali
hiyo file ya PDF mbona haifunguki ingawa nimeweza kuidownload nisaidieni tafadhali
Lipumba, Kikwete, Lowassa na wenzao wote walitwaliwa kwenye USHUSHUSHU wakiwa bado mashuleni. Darasa la Kikwete pale Tanga School, 80% walikuwa recruited kwenye system. Ukiingia, hutoki!
Msuruhishi
Hata mimi nimesikia Freeman Mbowe, Dr Wilbroad Slaa, Zitto Zubeir Kabwe WOTE CCM ila kule wanayeyusha watu tuu.....
No no no no no no no no. Labda Zitto mzee wa Dowans.
Na naomba uwakumbushe Wapiga Kura wa Busanda, wasikubali kuwapigia CCM, au CUF au UDP, maana hizo ni njama za CCM za divide and rule, na nasikia wameanza kuangusha nguzo za Umeme, wambie hicho ni chambo kama wanachopewa samaki, nao wakiwa kama binadamu waaakili zaidi ya samaki. na wakumbuke walio waibia madini ni nani? ccm? Sasa wasikubali kuibiwa mabilioni nao wakapewa milioni.Mashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.
Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!
Mashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.
Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!
Si useme tu umevuta....
sijavuta
Safi sana Zito kwa majibu yako mazuri, nimeyapenda. mtu anaacha kujadili kilicholetwa anarukia habari nyingine, suala linalojadiliwa hapa ni Lipumba habari ya Zito imetoka wapi. Swala la Dowans lilishaisha sasa tuangalie mambo yaliyo mbele yetu ndiyo tuyajadili. Naona si vema kuendelea kukashifiana wakati suala lenyewe lilishaelezwa, kwa staili hiyo tutakuwa hatujengi msingi ulio bora tutakuwa tunawakatisha tamaa watu wanaofanya kazi ya kulikomboa taifa letu. Asanteni tuendelee na mjadalaMashauri,
sijawahi kuwa mwanachama wa CCM maisha yangu yote na ninamwomba mungu kila siku nisijiunge na chama hicho. Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka nikiwa na umri wa miaka 16 na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote! Muhimu zaidi la kuzingatia ni kuwa kwetu Kigoma, CHADEMA ni zaidi ya chama cha siasa. mtu yeyote wa Kigoma mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA au hata kuwa pandikizi la CCM ndani ya CHADEMA. Kwa Kigoma, CHADEMA ni 'movement' na msaliti wa movement hutengwa - tazama Dkt. Kabourou.
Suala la Dowans ni suala la msimamo wa mtu binafsi. Nihukumiwe kwa hilo hilo!