Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
Naona CCM itatawala daima. Katika hali ya mazingira ya Tanzania, Lipumba tayari anaonekana alijaribu na kushindwa.
Hivi ni uchaguzi wa gani uliotoa nafasi kwa vyama vya upinzani kushinda?
Kama vyama vya upinzani havipewi nafasi za kikatiba kushinda uchaguzi basi Lipumba, Mrema, Mbowe na wengine wanaweza kuendelea kugombea na wala nafasi zao zisifananishwe na vyama vya upinzani vya Korea au Marekani ambavyo vinapigania katika mazingira ya kidemokrasia.
Hivi ni uchaguzi wa gani uliotoa nafasi kwa vyama vya upinzani kushinda?
Kama vyama vya upinzani havipewi nafasi za kikatiba kushinda uchaguzi basi Lipumba, Mrema, Mbowe na wengine wanaweza kuendelea kugombea na wala nafasi zao zisifananishwe na vyama vya upinzani vya Korea au Marekani ambavyo vinapigania katika mazingira ya kidemokrasia.